Shughuli ni watu dada,kama daladala hazitoshi watapanda maloriKama wagombea wa Chadema wameshindwa kuomba kura nyinyi CCM kinachowafanya msombe watu kwenye malori , trekta , boti kujaza uwanja nini ?View attachment 1589751View attachment 1589752View attachment 1589756View attachment 1589758View attachment 1589759
Ndivyo inavyotakiwa.Kila chama kinawajibika kuheshimu sheria, kanuni na maadili ya uchaguzi.
Usimbeze anaweza kuwa huyu hapa chiniChadema ya Lumumba au???
Kwani watakusomba kama hutaki?yani CCM haitaki watu wake watembee kwa Mguu muda mrefu kwenda mikutanoniKama wagombea wa Chadema wameshindwa kuomba kura nyinyi CCM kinachowafanya msombe watu kwenye malori , trekta , boti kujaza uwanja nini ?View attachment 1589751View attachment 1589752View attachment 1589756View attachment 1589758View attachment 1589759
Duuuu .huyu naye viiiiipi?asipewe tena uwaziri.ametuangusha!!!!mambo haya yanapaswa kuwa ya siriniKama wagombea wa Chadema wameshindwa kuomba kura nyinyi CCM kinachowafanya mkimbilie kwa waganga na Masheikh Ni nini?View attachment 1589760View attachment 1589761
Sawa kabisaSisi Chadema hatuna haja yakuahidi maji na barabara hatutaki maendeleo ya vitu. Huo ndo msimamo.