Wagombea Ubunge wa CHADEMA wanapata wakati mgumu kuomba kura

Nasikia mgombea mpya wa CCM ni Nasib Abdul a.k.a Almasi
 
Ccm wanahubiri sana amani itunzwe.lakini wanawambieni ccm ndo itaanzisha Fujo na machafuko ndani ya nchii muda so mrefu.hebu on a hapa mbunge mtarajiwa badala ya kueleza Sera za ccm,anahamasisha Fujo,ona clip hii!
Your browser is not able to display this video.
 
Wananchi wawachague ili iweje, wakati wanapinga na kumpinga mwenye maono?.Wanataka watekeleze maono ya Mbowe pasipo dola. Namwelewa Sana Magufuli asemapo, tusiweke magunzi katikati ya betri.
 
Sisi Chadema hatuna haja yakuahidi maji na barabara hatutaki maendeleo ya vitu. Huo ndo msimamo.
 
Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamke
 
Dogo ananiambia Kaka aliulizwa huku Nkweseko, Machame jimbo la Hai. Unakataa, barabara, Hospitali, Shule na Kukarabatiwa kwa Shule ya Lyamungo na Chuo cha Ualimu hapa Machame.

SWALI: Jee nyinyi CHADEMA mtatuletea hela tugawane? Au mtatuletea maendeleo kwenye miti, twambieni ili kama ni hivyo tupande miti mingi.

Kaka domo zege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…