Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumnadi sio tatizoKwiiiiiiiii kwiiiiiiiiiii. Njia ya mwongo fupi wakati lisu anamnadi mgombea wa ACT alipokuja aapa zenji, malimu seifu naye halikadhalika akajaaa ndani ya 18 kwa kumnadi lisu. Halafu ZITO ZUBERI KABWE LUYAGWA akasema atampigia lisu kula yake, kwani walikuwa hawajui kama nikinyume na katiba ya ACT? Tulieni sheria ishike mkondo wakee.
KU
Waambieni hao vibaraka waache upumbavu na wasirudie kuchezea shilingi chooni kwani kumvuruga Maalimu ni kuchagua hali ya ZanzibarBinamu Bujibuji poleni sana hawa watu wenu hawaaminiki... wanachoangalia ni kuwatumia kujaza mifuko yao tuu. Hawana dira, hawana maadili, hawana hata aibu kidogo
Lissu ni kibaraka, Maalim Seif ni dikteta wa ukweli na Zitto ni ndumila kuwili na mropokaji.Sawa kabisaa. Tena wakatafute haki zao kwenye vyombo husika maana wametapeliwa kisiasa
Vile vyama vya upinzani hawana dira wanataka kuvuruga hadi wanachama wao wenye malengo sababu ya uchu wao
Polepole bado anachezea kodi zetu kwa kufanya manunuzi ya wapinzani?. Mbona haijamsaidia kwenye kampeni za uchaguzi huu, bado haamini tu?
Huyu Lissu mwenyewe aliwahi kutamka kuwa ACT sio chama cha upinzani ni kwamba kimeundwa ili kuvuruga upinzani,sasa nikashangaa Lissu tena aliyetamka maneno hayo anashirikiana na ACT.
Msipanick, hii itakua sorted out na vyombo husika. Very soon 😁Waambieni hao vibaraka waache upumbavu na wasirudie kuchezea shilingi chooni kwani kumvuruga Maalimu ni kuchagua hali ya Zanzibar
Uzuri ni kwamba mwaka huu hata CCM watengeneze script ya namna gani, hawawezi kututoa wananchi kwenye focus kuu ambayo ni kumtoa magufuli madarakani.WAGOMBEA wawili wa kiti cha Ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo kupitia majimbo ya Kibamba jijini Dar es Salaam na Kyerwa mkoani Kagera wamewajia juu viongozi wa chama hicho kutokana na kauli yao ya kumuunga mkono mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu...
Hata ccm walisema Lowasa ni mwiz na fisadi je Leo lowasa yuko chama gani?
CCM walijua Lowasa ni fisadi ndio maana walimnyima ridhaa ya kuongoza dola, laiti kama mngesimamimia Ile misuto mliyompa bungeni hadi akajiuzulu msingethubutu kumpa ridhaa ya kugombea urais kwa chama chenu
Viongozi wa Chadema ni kama mume anayemtuma mke wake akajiuze ili waweze kuishi
Sad!
aWaambieni hao vibaraka waache upumbavu na wasirudie kuchezea shilingi chooni kwani kumvuruga Maalimu ni kuchagua hali ya Zanzibar
Na Leo lowasa yuko wapi?
Soma waraka unaowaua kosa lao kwa mjibu wakariba waliyoipitisha kwa mbwebwe na vifijo, inasema hivi, uanachama wa mwanachama utakoma pindi tuuu atakapo mnadii mwanachama wa chama kingine huku nao wakiwa wamesimamisha mgombea.Kumnadi sio tatizo
Soma maelezo yangu hao wabunge sijui vibaraka shida yao si Maalimu?
Basi hawana huo uwezo kwa kuwa wao sio wapiga kura wa Zanzibar
siasa ni sayansi... hao jamaa wako timamu kabisa... kuna kundi kubwa linatafutwa kufuata kauli ya kiongozi mkuu wa chama... sababu maneno ya hao wachache yatawafanya wengine waone kwamba wenzao hawataki mabadiliko na hawana nia ya kumuondoa ccm... hasira juu yao itawafanya wengine waunge kauli ya kiongozi wa chama kwa wingi...Dah! Sijui wamevuta bei gani kutoka kwa sloslow. Mzahazaha hivi hivi watu wanatolewa kwenye reli.
Mood Right NowSoma waraka unaowaua kosa lao kwa mjibu wakariba waliyoipitisha kwa mbwebwe na vifijo, inasema hivi, uanachama wa mwanachama utakoma pindi tuuu atakapo mnadii mwanachama wa chama kingine huku nao wakiwa wamesimamisha mgombea. Hilo ndo kosa laooo. Usiwateteeee wameisigina katiba yao waliyoitengeneza na kusabmit kwa kwa msajili wa vyamaaa. Wahoooondoketuuuu. Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovuuu. Haaaaaaaa haaaaaaaaa. Inaumaaaaaaaaaa