Uchaguzi 2020 Wagombea Ubunge wawili wa ACT-Wazalendo wawajia juu Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa kumuunga mkono Tundu Lissu

Natabiri kuna wana jf humu leo siku imewaishia vibaya.🤣🤣🤣 kama unaweza kuwataja we wataje.



MAGUFULI4LIFE.
 
Wala hawawezi kuwaondoa watanzania kwenye ajenda kuu ya kuwatoa Ccm madarakani mwaka huu.

Hawa wote ni wana Ccm waliotumwa kuokoa jahazi kwa kuleta taharuki ila uzuri ni kwamba watanzania mwaka huu hatubabaishwi na siasa za matumbo. Tupo serious na jambo letu la kuwatoa Ccm madarakani!!
 
Natabiri kuna wana jf humu leo siku imewaishia vibaya.🤣🤣🤣 kama unaweza kuwataja we wataje.



MAGUFULI4LIFE.
Yaaani siku iharibike kwa sababu ya mamluki wa Ccm waliotumwa kwa makusudi kuharibu ajenda kuu ya watanzania ya kuwatoa Ccm madarakani mwaka huu????

Mtasubiri sana. Kila mbinu yenu lazima ifeli mwaka huu. Ajenda kuu ya watanzania mwaka huu ni ile ile Tundu Antiphas Lissu Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 na Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020-2025
 
Kama Corona ilimkimbia leo maneno yako tu haya hebu tulia hii nchi iendele. Kama waafrika tunahitaji heshima yetu tuliyoporwa kwa miaka mingi.


MAGUFULI4LIFE.
 
Hela ya CCM inaliwa kiboya sana. Wameshadakishwa na Chakubanga vimilioni kadhaa wakinukishe
 
Yale Yale ya Pro, LIPUMBA na Dokta Slaa, ya kununuliwa na MaCCM ili KUVURUGA na KUUA UPINZANI,
Yalianzaga hivi hivi kama mzaha vile.
Membe Mungu anakuona.
Ndipo mnapotakiwa na nyie mutambue kuwa tatizo siyo Lipumba wala Slaa. Tatizo ni ushenzi wa Maalim Seif mnayemuona kuwa ndo mpinzani wa kweli.

Lipumba na Slaa hawahusiki na ACT lakini tatizo lile lile linajirudia kwenye chama alichokimbilia Maalim Seif. Kwa lugha nyingine hii inaitwa "carry over" au "cross contamination" kwa maana uwepo wa beberu hutambulika kwa harufu yake.
 
Sasa hao CCM uwatoe kutoka wapi na kuwapeleka wapi?! Mbona mnateseka na kupata taabu Sana? Kama ni kuwatoa madarakani Hilo haliwezekani..Lissu amefanya kosa la kimkakati...kuwakumbatia mabeberu na kuendekeza ushoga..
 
Sasa hao CCM uwatoe kutoka wapi na kuwapeleka wapi?! Mbona mnateseka na kupata taabu Sana? Kama ni kuwatoa madarakani Hilo haliwezekani..Lissu amefanya kosa la kimkakati...kuwakumbatia mabeberu na kuendekeza ushoga..
Mtajua hamjui mwaka huu. Jiandaeni tu kuwa wapinzani 2020-2025
 
Kuna haja ya Zitto na Maalim Seifu kuheshimu katiba ya chama Chao
 
Mtajua hamjui mwaka huu. Jiandaeni tu kuwa wapinzani 2020-2025
Unateseka bure Ndugu yangu...jiandae kuteseka zaidi baada ya Oktoba 28...Lissu huyo atashndwa vibaya mno..halafu hata kuandamana Kama mnavyodai kufanya haitawezekana...uchaguzi wa mwaka huu hauna nguvu Wala shamrashamra isipokuwa labda mtandaoni ndio ninyi sijui akina Lord denning ndio mnafurukuta..Lord dah..Lord.

Title hii siyo ya kawaida..katika maeneo mengi kwa sasa hapa TZ huyo Lissu anafahamika kwa sifa mbili...moja anataka wakoloni na mabeberu warudi kututawala...na ya pili anataka wanaume waanze kuoana wenyewe kwa wenyewe Kama wanavyofanya wazungu..kwa hiyo Lissu Hana kitu...
 
We ndio kilaza kweli, Kampeni ni za Chama sio za Membe as an Individual person weee nazi koroma
Ndo dk 89 za Membe hizi sio?
ACT ilikosea sana kumkaribisha Membe
Sasa mtu haonekani week tatu tangu kampeni zianze ulitegemea viongozi wafanye nini zaidi ya kuumga mkono Tundu Lissu
 
Wanaoharibu siasa za nchi hii ni Maalim Seif na Prof. Mbowe..!! Wajinga sana!
 
Hata ccm walisema Lowasa ni mwiz na fisadi je Leo lowasa yuko chama gani?
Ccm, cdm na act wote wajinga. Jembe la ukweli ni Prof. Lipumba tu kwa maana hashobokei makapi ya ccm. Mapema kuelekea uchaguzi wa mwaka huu Cuf ilishatoa msimamo wake kukataa mashirikiano na lichama lolote linaloshobokea makapi ya ccm.
 
Lowassa alitumwa kazi ameshaifanya pale chadema na sasa amerudi head office,Membe nae sasa yupo kazini hapo ACT akimaliza kazi nae atarudi Head office.
Cuf peke yake ndo imebaki na purity yake hasa baada ya kujiondoa Maalim Seif. Maalim na genge lake wamewapelekea pira ACT na mshirika wao cdm.
 
Lowasa alikuwa mpinzani?
Kwa cdm na babu yao Maalim Seif, Lowassa ndo mpinzani wa kweli na Lipumba ndo msaliti. Bichwa kuuubwa ndani hamna kitu, bure kabisa! Maslim aliwahi kusema bora kukaa meza moja na ccm kuliko Lipumba na kweli kaenda kumuokota Membe kada la Ccm liwe mgombea wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…