Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.