Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wagombea wawili wa Ubunge katika Jimbo la Serengeti mkoani Mara wameacha kuendelea na kinyang’anyiro cha kupambania kupata ubunge wa Jimbo hilo na kuhamia CCM.
Mmoja wa wagombea hao ni Daniel Daudi ambaye alikuwa anagombea kupitia, NCCR-Mageuzi na Amosi Roswe aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya ACT-Wazalendo.
Jimbo la Serengeti lilikuwa chini ya Marwa Ryoba ambaye alihamia CCM kutokea CHADEMA. Aidha kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu CCM imemsimamisha Jeresabi Mkimi.
Mmoja wa wagombea hao ni Daniel Daudi ambaye alikuwa anagombea kupitia, NCCR-Mageuzi na Amosi Roswe aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya ACT-Wazalendo.
Jimbo la Serengeti lilikuwa chini ya Marwa Ryoba ambaye alihamia CCM kutokea CHADEMA. Aidha kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu CCM imemsimamisha Jeresabi Mkimi.