Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Mtajuana na mzee babaSerengeti hatupangiwagi tuna amuaga sisi sisi haki ikidhurumiwa kwanza tuna zingira halimashauli nzima tuna wahi kwa mkurugenzi tuna zingira kwa lolote tunafanya hatudhurumiwagi haki Serengeti tukiamua tunaemtaka ndie atuongoze no story maamuzi yapo kwa wana Serengeti na sio maagizo kutoka juu