wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 985
Magu anajuwa hawa hawawezi kushinda wenyewe, lazima kuna push itatumika behind this! wapinzani wasijipweteke! something fishy here!Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Mm nnaishi kawe hapa kawe halima hana chake amin nakwambia
Yaani waliokuwa upinzani wanapewa nafac ss tuliyoshinda kura za maoni na tulikipigania chama tunatoswa hakika inaumiza lkn tutajua kwenye Sanduku la kuraWabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Hao wasomi pia hawawezi kumchagua tena mtu anaevuta bangi na kushiriki mapenzi ya jinsia moja (lesbian).CCM wamepoteza rasmi hayo majimbo.
Na Kawe , CCM wameipoteza rasmi! Hakuna namna Kawe ya wasomi na watu wanaojiweza kifedha watamchagua Gwajima mtu Mwenye mauchafu ya kujirekodi hadi akizini na wanawake
Hakuna ugumu watu hawabaiki na majinaKawe ni ngumu aisee.
Halina ajipange sana
Ujue imewachoma na imewaumaMbona wapinzani ndo mmeguswa na hii hali sana kuliko wahusika! Tuweni na akiba na maneno
hawa wote lazima waangukie pua kwenye sanduku la kuraWabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Alishawahi kumsaga mkeo au mama yako?Hao wasomi pia hawawezi kumchagua tena mtu anaevuta bangi na kushiriki mapenzi ya jinsia moja (lesbian).
Usiwasemee ccm ni cha a dolaCCM wamepoteza rasmi hayo majimbo.
Na Kawe , CCM wameipoteza rasmi! Hakuna namna Kawe ya wasomi na watu wanaojiweza kifedha watamchagua Gwajima mtu Mwenye mauchafu ya kujirekodi hadi akizini na wanawake
wajumbe hawana maana,ccm inawenyeweAisee! Hawa watu walitakiwa wajifunze dhambi ya unafiki! Wajumbe walionyesha hilo.
Bahati mbaya ndege wafananao huruka....
Zidumu fikra na mkakati wa Mwenyekiti na Katibu
Mbona Nasar hayupo?? na umesema wote!!??Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Labda kwa figisuMm nnaishi kawe hapa kawe halima hana chake amin nakwambia
Jamani mbona walimchagua mdee anayesadikika kutembea na Bulaya?CCM wamepoteza rasmi hayo majimbo.
Na Kawe , CCM wameipoteza rasmi! Hakuna namna Kawe ya wasomi na watu wanaojiweza kifedha watamchagua Gwajima mtu Mwenye mauchafu ya kujirekodi hadi akizini na wanawake
[emoji23][emoji1787][emoji2960]Hao wasomi pia hawawezi kumchagua tena mtu anaevuta bangi na kushiriki mapenzi ya jinsia moja (lesbian).
Wangemsimamisha Nani mkuu!..Halima alikuwa kwenye hatihati.
..lakini CCM mmekosea kumsimamisha Gwajima.
Mkuu ccm hawajakosea, huyo ndio mtu aliyependekezwa na vyombo kwamba ndio mwenye uwezo wa kushinda jimbo hilo, mwenyekiti anawaamini sana wale jamaa wa kaunda suti hiyo vetting/research wameifanya wenyewe...Halima alikuwa kwenye hatihati.
..lakini CCM mmekosea kumsimamisha Gwajima.
Wangemsimamisha Nani mkuu!
Mpaka muda huu Mdee anatota Kwa majimaji, jasho halikwishi, anaagiza maji kila mara, mambo ya mikopo ayaweke Sawa
Mimi najiuliza, GWAJIMA watamfunga nini ili asiongee vile? Maana Kati ya watu waongeaji ni Gwajima, ukimpa dk moja ya kujieleza utamwachia hata kama anamakosa ya jinai
Tukutane OctoberUsiwasemee ccm ni cha a dola