Uchaguzi 2020 Wagombea waliohamia CCM wapitishwa na chama kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Wagombea waliohamia CCM wapitishwa na chama kugombea Ubunge

Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Magu anajuwa hawa hawawezi kushinda wenyewe, lazima kuna push itatumika behind this! wapinzani wasijipweteke! something fishy here!
 
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Yaani waliokuwa upinzani wanapewa nafac ss tuliyoshinda kura za maoni na tulikipigania chama tunatoswa hakika inaumiza lkn tutajua kwenye Sanduku la kura
 
CCM wamepoteza rasmi hayo majimbo.

Na Kawe , CCM wameipoteza rasmi! Hakuna namna Kawe ya wasomi na watu wanaojiweza kifedha watamchagua Gwajima mtu Mwenye mauchafu ya kujirekodi hadi akizini na wanawake
Hao wasomi pia hawawezi kumchagua tena mtu anaevuta bangi na kushiriki mapenzi ya jinsia moja (lesbian).
 
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
hawa wote lazima waangukie pua kwenye sanduku la kura
 
CCM wamepoteza rasmi hayo majimbo.

Na Kawe , CCM wameipoteza rasmi! Hakuna namna Kawe ya wasomi na watu wanaojiweza kifedha watamchagua Gwajima mtu Mwenye mauchafu ya kujirekodi hadi akizini na wanawake
Usiwasemee ccm ni cha a dola
 
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
Mbona Nasar hayupo?? na umesema wote!!??
 
CCM wamepoteza rasmi hayo majimbo.

Na Kawe , CCM wameipoteza rasmi! Hakuna namna Kawe ya wasomi na watu wanaojiweza kifedha watamchagua Gwajima mtu Mwenye mauchafu ya kujirekodi hadi akizini na wanawake
Jamani mbona walimchagua mdee anayesadikika kutembea na Bulaya?
 
..Halima alikuwa kwenye hatihati.

..lakini CCM mmekosea kumsimamisha Gwajima.
Wangemsimamisha Nani mkuu!

Mpaka muda huu Mdee anatota Kwa majimaji, jasho halikwishi, anaagiza maji kila mara, mambo ya mikopo ayaweke Sawa

Mimi najiuliza, GWAJIMA watamfunga nini ili asiongee vile? Maana Kati ya watu waongeaji ni Gwajima, ukimpa dk moja ya kujieleza utamwachia hata kama anamakosa ya jinai
 
Wangemsimamisha Nani mkuu!

Mpaka muda huu Mdee anatota Kwa majimaji, jasho halikwishi, anaagiza maji kila mara, mambo ya mikopo ayaweke Sawa

Mimi najiuliza, GWAJIMA watamfunga nini ili asiongee vile? Maana Kati ya watu waongeaji ni Gwajima, ukimpa dk moja ya kujieleza utamwachia hata kama anamakosa ya jinai

..Gwajima ana mambo fulani ya kitoto, na mapepe.

..Halima Mdee ataonekana kuwa mgombea aliyetulia, na mwenye uzoefu.

..Gwajima ataonekana anajua zaidi dini, na Halima ataonekana anajua zaidi siasa.

cc Matola
 
Back
Top Bottom