Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Kumbe wachache tu ao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haMaccm ni majitu majinga tu...
Kanunua kweli mpaka wanaccm kimewauma yani.... Kwa jinsi walivokua na asira membe angeruhusiwa tu kura zote na hasira zote wangemmalizaa.... Wanachezea pesa wengine uuku wanaccm wananjaaa😒😒Na hii itakuwa akili ya Mwenyekiti tu maana yeye ndo aliye asisi project ya kununua watu
Naona majimbo mengi ya Kilimanjaro yakarudi CCM mfano:
Vunjo
Moshi vijijini
Rombo na
Siha
Huko kote wameingia maprof wazuri.
Ilikuwa ni mojawapo ya makubaliano wakati wakipewa hongo (rushwa) ili wahamie CCM. Kwani waliminishwa kuwa Chadema itakufa kabla ya uchaguzi wa 2020 kwa tukio la wao kuhama chama na vituko mbaliambali amabyo watafamyiwa Viongozi wa Chadema na kwamba njia yoyote ile (By hook or by crook) watapitiswha kugombea Ubunge...arafu uje utwambie nchi hii kuna TAKUKURU .Mmeona jinis yule kijana mwenye meno yaliooza jinsi alivyopitishwa Shinyanga kwa Masele pamoja na kukosa kwenye tatu bora kama zisemavyo kanuni za uchaguzi za Lumumba kwamba majina matatu ndiyo yatapendekezwa Halmashauri..yeye nadhani alikuwa wa sabaWabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerewe
😁😁 idea zingine sijui za karne gani khaaa!. Mtu wagumea chama alikuwa ni lowassa tu tena na yeye ni kidogo Sana, sembuse hawa wa Leo😁. Acha utani bhana.Hapa naiona dalili ya chama kumeguka