Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo. Lissu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote.

Pili, Lissu alitoka bila kusema Watanzania nawaombeni kura zenu. Aliondoka tu utafikiri anaandoka kwenye kikao cha harusi ya mkwewe, hakuomba kura.
 
Haa...yaani ameendelea kulialia,kulalamika na kunung'unika basi. Bado anahoji kwanini mmenunua ndege,kwanini mnajenga Barabara njia 8, kwanini mnajenga flyover...? etc . Wakati majibu ya maswali hayo ni simple mambo hayo yanafanywa na matajiri..! Hivyo TZ ni nchi Tajiri....!
 
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo.Lusu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote

Pili Lisu alitoka bila kusema watanzania nawaombeni kura zenu.Aliondioka tu utafikiri anaandoka kwenye kibao cha uraisi ya mkwewe hakuomba kura
Acha kukariri!! Kuna njia nyingi za presentation na presentation ni ART, It all depends on ones skills to impress.


Wenye akili walimuelewa na wanajuwa alikuwa kuomba kura. Ila wenye vichwa vigumu msubirini Meko wenu
 
Madai yake yeye ni jiniaz kakariri Ilani yote ya Chadema.
 
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo.Lusu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote

Pili Lisu alitoka bila kusema watanzania nawaombeni kura zenu.Aliondioka tu utafikiri anaandoka kwenye kibao cha uraisi ya mkwewe hakuomba kura
Shida ya kuwa na elimu ndogo ndo hii, mtanzania gani hajui Lissu anagombea uraisi Tanzania na anahitaji kura? hayo waambie ccm wenziyo ambao ufikiri ni finyu.
 
Haa...yaani ameendelea kulialia,kulalamika na kunung'unika basi. Bado anahoji kwanini mmenunua ndege,kwanini mnajenga Barabara njia 8, kwanini mnajenga flyover...? etc . Wakati majibu ya maswali hayo ni simple mambo hayo yanafanywa na matajiri..! Hivyo TZ ni nchi Tajiri....!
Nchi tajiri iko wapi? Mbona hayo ma SGR na mabarabara hayajakamilika? Kwa mfano barabara ndogo ya Mwenge -Morocco anaijenga kuanzia December 2015 alipochukua hela za sherehe kwa sifa za KIJINGA mpaka leo inajengwa tu.

Barabara ya Ubungo- Kibamba toka amebomoa nyumba za watu mwaka 2016 ametujazia diversions za mawe na mapipa.

Angalia pale Gerezani kuanzia 2017 wanasema wanajenga SGR ya umeme kwenda Morogoro, Je ukipata unaona nini?
 
Jiwe akihojiwa kwenye TV yeyote na mtangazaji yeyote (hata akiwa wa SIBUKA) itakuwa ni aibu ya mwaka kwa pumba atazotema. Refer mara ya mwisho kapigwa maswali na press serious kule Uganda, ilikuwa aibu tupu, hadi M7 akawa anaingilia kati. Na mara ya mwisho hapa TZ kuongea na press akaishia tu kusema Mayalla kwao maana yake njaa. Kifupi mkuu mwenyekiti wenu uelewa wake una mashaka sana. Na hawezi kuomba kuhojiwa na press hata siku moja, labda ajirekodi akiongea uongo wake then press warushe. Hata Lowassa na afya yake mgogoro anamshinda, 2015 alipiga interview na press Makini sana BBC Swahili. Hebu wewe hapo assume tu Magu anahojiwa kwenye Hardtalk ya BBC!!!!
 
Lissu ni zaidi ya mgombea, kile alichokifanya jana pale ITV ni kama mwalimu, aliefanya kazi ya kuwaelewesha wapiga kura wasiojua sera za chama chake, naamini wengi watakuwa wamemuelewa watampa kura zao, wewe mleta mada unahangaika tu.
 
Nchi tajiri iko wapi? Mbona hayo ma SGR na mabarabara hayajakamilika? Kwa mfano barabara ndogo ya Mwenge -Morocco anaijenga kuanzia December 2015 alipochukua hela za sherehe kwa sifa za KIJINGA mpaka leo inajengwa tu.

Barabara ya Ubungo- Kibamba toka amebomoa nyumba za watu mwaka 2016 ametujazia diversions za mawe na mapipa.

Angalia pale Gerezani kuanzia 2017 wanasema wanajenga SGR ya umeme kwenda Morogoro, Je ukipata unaona nini?
Tuliza mshono ...matajiri wote hufanya mambo yao namna hiyo.Yote yatakamilika.Embu fikiria Li 'SGR' likikamilika yaani unakaa Dar kazi DOM we kila siku unaenda asb na kurudi jioni....Sisi ni matajiri ...Mzee Magu anajaribu kutufundisha Hilo....Acha kuwa na kichwa kigumu..!
 
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo.Lusu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote

Pili Lisu alitoka bila kusema watanzania nawaombeni kura zenu.Aliondioka tu utafikiri anaandoka kwenye kibao cha uraisi ya mkwewe hakuomba kura
Kwamba Jiwe na yeye anaweza kukubali kwenda kuhojiwa ?
Hahahaha
 
Back
Top Bottom