Looks like kama wamejazwa sumu vile. It's highly unlikely hii slogan hakutungwa na Mtanzania (maybe a foreign entity). Naona kama siyo pando la Kitanzania, hii ni mbegu nyingine kabisa.Nape alifanya nini au unajitia upofu
Ukiwa CCM unaweza kufanya chochoteNape alifanya nini au unajitia upofu
Siasa za kitoto hizoYeye anajua atashinda, wewe ni nani hata umpinge!
Za kurusha mawe ndiyo za kikubwa!?Siasa za kitoto hizo
Kura haziongezeki kwa jaziba mkuu, ni Sera zako tu. Kuna mgombea mmoja anitumia about 99% kwa ajili ya personal attack, badala ya sera mkuu.Za kurusha mawe ndiyo za kikubwa!?
Kwan campaign zimeanza ukasikia hizo seraKura haziongezeki kwa jaziba mkuu, ni Sera zako tu. Kuna mgombea mmoja anitumia about 99% kwa ajili ya personal attack, badala ya sera mkuu.
Kwani kaanza leo? Unakuwa blinded na siasa za mtandaoni chief? Ila watu wana jambo Leo, keep watching mkuuMlizoea chaguzi zilizopita kushinda kibabe safari hii ni jino kwa jino.
By da way kigogo karudi mzigoni
Inakuuma hiyo!! basi pole, watz tulishagundua wote ni waongo hata wale wanaosema mji flani nitaubadirisha kuwa dubai miaka 5 inaisha hata rami hakuna.Kura haziongezeki kwa jaziba mkuu, ni Sera zako tu. Kuna mgombea mmoja anitumia about 99% kwa ajili ya personal attack, badala ya sera mkuu.
Mkuu, hii Tanzania ndugu yangu, inatakiwa kuongozwa na watu wenye nia ya dhati, siyo wale ambao wako driven na foreign entitiesAmani yenu wana CCM eeh? Kama ni hiyo ni kweli kabisa tunakuja kuichukua, jiandaeni.
Impact take utaiona October 28, 2020Inakuuma hiyo!! basi pole
Kajazwa sumu huyoHuyo ndio kamanda! lazima aonyeshe utayari wake anapozungumzia maisha ya watu wengine.
Siasa za kikubwa zimesaidia nini Tanzania!?Siasa za kitoto hizo