Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Chama cha mapinduzi wakiongea sio sumu?
Kajazwa sumu huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajazwa sumu huyo
Hiyo ni wrong perceptionSiasa za kikubwa zimesaidia nini Tanzania!?
Ni kweli, mataifa makubwa yote yanahaha mchana na usiku kuhakikisha wanalinda maslahi yao na kuvuna resources kokote kule duniani.Mkuu, hii tz ndugu yangu, inatakiwa kuongozwa na watu wenye nia ya dhati, siyo wale ambao wako driven na foreign entities
Nakubaliana na wewe mkuu, ila kwa hali tuliyokuwa nayo kipindi kile before huyu Mh. Hajaingia madarakani, it was completely terrible kwenye rushwa na uzembe, hata hawa ndugu zetu ajenda kuu yao ilikuwa kupambana na rushwa na ufisadi. So, mh. Magu akaziba hilo ombwe.Ni kweli, mataifa makubwa yote yanahaha mchana na usiku kuhakikisha wanalinda maslahi yao na kuvuna resources kokote kule duniani.
Lakini hakuna mgombe yeyote kwenye uchaguzi huu ambaye tunaweza kusema anatumiwa na foreign entities, kutafuta msaada nje pale unapokandamizwa nchini kwako ni jambo la kawaida na viongozi wengi duniani yamefanya hivyo.
Ndiyo watu watujua wajumbe ni akina nani mkuuAnawadanganya wenzake huyo. Asubiri Kipyenga kupulizwe aone anavyopoteana.
Chief, hayo ni ya kweli police wakimbie na sanduku? Anyway, chamsingi now nikuwa na siasa za kisitarabu.Tabia zenu CCM za wizi wizi wa kura, usanii usanii achenj; kuchezea chaguzi hasa hizo ndogo kweli mnatia aibu..kama si kinyaaa ndizo zinazofanya wagombea wa vyama vingine wawaonye!!
Kwa mfano Kinondoni pale Police eti wanakimbia na sanduku la Kura mchana kweupe pee..
Mawakala kuwazuia wasiingie vituoni hadi saa 5 asubuhi ili mfanye ujanja ujanja
Huu ndiyo uhuni unaowafanya vyama vingine wawaonye!!
Acheni ujanja ujanja ni aibu kubwa kwa chama chemye umri wa miaka zaidi ya 40.
Mkuu huku Tabora pamekua Toronto aisee.Inakuuma hiyo!! basi pole, watz tulishagundua wote ni waongo hata wale wanaosema mji flani nitaubadirisha kuwa dubai miaka 5 inaisha hata rami hakuna.
Ndugu zangu,
Kwa kifupi,
Nilikuwa namsikiliza Mh. huyu katika maongozi yake, ila inaonekana kama amekaa kaa kishari kishari vile (). Kama akishindwa itakuaje sasa? Maana sioni vyama vingine kama vinatoa vitisho tisho kama hivi, upande huu kuna nini?
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Kuzalisha mafisadi kama MakondaSiasa za kikubwa zimesaidia nini Tanzania!?
Tukitaka kuliepusha taifa letu na uvunjifu wa amani ni tume kutenda haki basi. Haiwezekani tudai amani huku tunawanyima haki watu wetu.
Ndugu zangu,
Kwa kifupi,
Nilikuwa namsikiliza Mh. huyu katika maongozi yake, ila inaonekana kama amekaa kaa kishari kishari vile (). Kama akishindwa itakuaje sasa? Maana sioni vyama vingine kama vinatoa vitisho tisho kama hivi, upande huu kuna nini?
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Kwan campaign zimeanza ukasikia hizo sera
Kuilaumu tume utakuwa unakosea, uzuri idadi ya wapiga kura si inajulikana, sasa wasiwasi utoke wapi sasa?Mkuu tume itatenda vipi haki wakati tayari wana idadi ya wapiga kura ya uongo? Watanzania tunakaribia 60m, tume imesema waliojiandikisha kupiga kura ni 29m+. Ina maana kila watanzania wawili mmoja kajiandikisha kupiga kura. Hii maana yake ni kuwa mtu yoyote mwenye miaka 18+ ndani ya nchi hii ana kitambulisho cha kupiga kura, huku wenye vitambulisho vya taifa hawafiki idadi hiyo! Hapo unategemea kuna haki itatendeka?
Looks like uko vizuri kufanya analysisHivi huyu Salome Makamba kazaliwa na ni makazi wa Shy town kweli ?Chadema Shy mna wafuasi,ila kwa huyu Salome mmechamsha. Hapa Katambi atapita kiulainiiiii.
It's my responsibilities kushade light on Tanzanians mind. Najua kwa hapa jf, everyone has decision already, it's unlikely that you can change someone who's politically maturity, but in reality the truth should be told kwa wananzengo. Then, itakuwa jukumu lao kufanya maamuziKejuu chadema inakutesa sana. Utakonda mkuu zungumzia ya ccm huko uwe na amani.
But unaona progress mkuu, mh anavyojitahidi kufanya hivyoInakuuma hiyo!! basi pole, watz tulishagundua wote ni waongo hata wale wanaosema mji flani nitaubadirisha kuwa dubai miaka 5 inaisha hata rami hakuna.