Kuilaumu tume utakuwa unakosea, uzuri idadi ya wapiga kura si inajulikana, sasa wasiwasi utoke wapi sasa?
Sasa mkuu, kama kungekuwa na shida kwenye daftari, wadau wa uhaguzi wasingekubali. Na limeboreshwa several timeSiilaumu tume bali nakuonyesha kuwa tume imejiandaa kuja na matokeo ya kupika. Kama ina idadi ya wapiga kura ya uongo, itawezaje kutoa matokeo ya kweli? Toka lini nusu ya wananchi wa nchi hii wakajiandikisha kupiga kura?
Sasa mkuu, kama kungekuwa na shida kwenye daftari, wadau wa uhaguzi wasingekubali. Na limeboreshwa several time
Awamu hiii #BASI#Looks like kama wamejazwa sumu vile. It's highly unlikely hii slogan hakutungwa na Mtanzania (maybe a foreign entity). Naona kama siyo pando la Kitanzania, hii ni mbegu nyingine kabisa.
Punguzeni ujinga...na yule aliyesema wapinzani wapigwe mboko mmefanya nn?
WAMECHOKA! NISHAWAHI ONA JOGOO MMOJA AMBAE KILA SIKU ALIKUWA ANAPIGWA NA MWENZAKE! EE BWANA KUDADADEKI KUNA SIKU ALIMUAMULIA ALIMTANDIKA MPAKA AKATAKA KUMUUA.Ndugu zangu,
Kwa kifupi,
Nilikuwa namsikiliza Mh. huyu katika maongozi yake, ila inaonekana kama amekaa kaa kishari kishari vile (). Kama akishindwa itakuaje sasa? Maana sioni vyama vingine kama vinatoa vitisho tisho kama hivi, upande huu kuna nini?
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Unapoteza muda wako na propaganda zisizo na faida.It's my responsibilities kushade light on Tanzanians mind. Najua kwa hapa jf, everyone has decision already, it's unlikely that you can change someone who's politically maturity, but in reality the truth should be told kwa wananzengo. Then, itakuwa jukumu lao kufanya maamuzi
CCM ins uhaba wa vijana wenye uelewa mkuu!Nape alifanya nini au unajitia upofu
Hizo siyo propaganda, bali ni ukweliUnapoteza muda wako na propaganda zisizo na faida.
Sina hata idea mkuuKumbe ofisi za chadema shinyanga bado zipo pale karibu na stend ya zamani!!!!!!
Tena yakupanga
NDIYO MNAVYOJAZWA UPEPO CHIEF?WAMECHOKA! NISHAWAHI ONA JOGOO MMOJA AMBAE KILA SIKU ALIKUWA ANAPIGWA NA MWENZAKE! EE BWANA KUDADADEKI KUNA SIKU ALIMUAMULIA ALIMTANDIKA MPAKA AKATAKA KUMUUA.
Utawajua wajumbe ni akina nani? We utaona October 28, 2020Awamu hiii #BASI#
leteni ujinga muone
Toa evidenceNarudia tena, hakuna uwezekano wa nusu ya watanzania wote kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura, ndio maana tume haitoi nafasi ya hilo daftari kuhakikiwa. Hili ninalokuambia sikuambii kwa bahati mbaya. Kama ni machafuko kutokea nchi hii, basi Magufuli na tume ya uchaguzi ndio watakuwa wahusika. Tokea lini kila mtanzania mwenye miaka 18+ akawa amejiandikisha kupiga kura? Inawezekana vipi watu wenye miaka 18+ wakawa idadi sawa na wale walio chini ya miaka 18?
Hapo ni swala la kusubiri wadau wa uchaguzi kwa jambo lililo wazi hivyo? Halafu hapo ndio tutegemee matokeo ya kweli wakati idadi ya wapiga kura ni ya kupika? Kwangu kutokana na idadi hii ya kupika, tayari matokeo yatakayotangazwa na tume hii sio ya kweli.
Toa evidence
Acha utaniMlizoea chaguzi zilizopita kushinda kibabe safari hii ni jino kwa jino.
By da way kigogo karudi mzigoni
Wamejazwa sumu mnoHiki chama bana. Kinatuharibia wake na wachumba. Wanawake wamesimama na maneno makali hatarii.
Maneno ya kwenye kanga hayoMlizoea chaguzi zilizopita kushinda kibabe safari hii ni jino kwa jino.
By da way kigogo karudi mzigoni