Wagonjwa anaowaposti MC Pilipili ni sahihi kuchangiwa, si Prof. Jay

Wagonjwa anaowaposti MC Pilipili ni sahihi kuchangiwa, si Prof. Jay

Nilishawahi kusema, nanitazidi kusema kuwa ngozi nyeusi ina laana, ukishazaliwa mweusi basi huna tofauti na waliomwasi Mungu. Maana yangu ni hii hapa achane kupaniki Nina hoja zangu kubwa za msingi.

MC Pilipili huwa anajitolea kuwafata wagonjwa kwenye mikoa ya mbali kwa gharama zake mwenyewe lakini anahitaji msaada wa kuchanga ili Hao wagonjwa wapate matibabu, watanzania huwa tunasoma post na kuiburuza juu, nakujifanya kama hatuoni yaani mgonjwa anahitaji million 5 tu kupata matibabu lakini inachukua mpaka mwezi kukamilisha kiasi hicho, nachukia sana tu.

Mimi kwa upande wangu siwezi kuchota maji kwenye ndoo nikaijaze bahari, hapana kwakwel. Prof. Jay Ana uwezo wakupata matibabu popote pale atakapotaka kwa gharama zake mwenyewe, uwezo huo anao lakini sisi watu weusi tunajifanya hamnazo kufosi achangiwe huku makapuku waliokosa hata nauli ili waende muhimbili kupata tiba wananukishana harufu kali ya maradhi majumbani, naanapotokea mtu wa kumu expose kwenye media kutoa hata 500 tu nikipengele, sijui kwann tunatia aibu hivi.

Familia ya prof Jay haitaki michango, lakini Kuna njemba zinafosi ili zionekane kuwa na utu kuliko wengine. Hili jambo limenikwaza sana, wenye Mali hawataki kwann ulazimishe, kama Kuna haja yakuchanga ili wagonjwa wapate matibabu basi tuwachangie masikini sio pr Jay.

Katiba mpya sio ya chadema, ni takwa la wananchi

We mja laanakum usitulazimishe kumchangia huyo nduguyo anayeumwa matende. Kila mtu anapeleka sadaka yake pale ambapo nafsi yake imeguswa.

Halafu unaonyesha wewe ndio mwenye laana sababu umepaniki sana na kuanza kutukana watu weusi ingali una nduku jeusi Kama giza la pangoni, kwa hiyo babako na mamako wajaa laana kiss waafrika wakakuzaa mweusi umejaa laana na ukoo wako mbwa wewe.

Usitutakie dhambi bure peleka laana zako kijijini kwenu kalale na dadako mzae ngozi nyeupe faken .
 
Wa
Nilishawahi kusema, nanitazidi kusema kuwa ngozi nyeusi ina laana, ukishazaliwa mweusi basi huna tofauti na waliomwasi Mungu. Maana yangu ni hii hapa achane kupaniki Nina hoja zangu kubwa za msingi.

MC Pilipili huwa anajitolea kuwafata wagonjwa kwenye mikoa ya mbali kwa gharama zake mwenyewe lakini anahitaji msaada wa kuchanga ili Hao wagonjwa wapate matibabu, watanzania huwa tunasoma post na kuiburuza juu, nakujifanya kama hatuoni yaani mgonjwa anahitaji million 5 tu kupata matibabu lakini inachukua mpaka mwezi kukamilisha kiasi hicho, nachukia sana tu.

Mimi kwa upande wangu siwezi kuchota maji kwenye ndoo nikaijaze bahari, hapana kwakwel. Prof. Jay Ana uwezo wakupata matibabu popote pale atakapotaka kwa gharama zake mwenyewe, uwezo huo anao lakini sisi watu weusi tunajifanya hamnazo kufosi achangiwe huku makapuku waliokosa hata nauli ili waende muhimbili kupata tiba wananukishana harufu kali ya maradhi majumbani, naanapotokea mtu wa kumu expose kwenye media kutoa hata 500 tu nikipengele, sijui kwann tunatia aibu hivi.

Familia ya prof Jay haitaki michango, lakini Kuna njemba zinafosi ili zionekane kuwa na utu kuliko wengine. Hili jambo limenikwaza sana, wenye Mali hawataki kwann ulazimishe, kama Kuna haja yakuchanga ili wagonjwa wapate matibabu basi tuwachangie masikini sio pr Jay.

Katiba mpya sio ya chadema, ni takwa la wananchi

wazungu wanaofumuana marinda wamemuasi nani?
 
We mja laanakum usitulazimishe kumchangia huyo nduguyo anayeumwa matende. Kila mtu anapeleka sadaka yake pale ambapo nafsi yake imeguswa.

Halafu unaonyesha wewe ndio mwenye laana sababu umepaniki sana na kuanza kutukana watu weusi ingali una nduku jeusi Kama giza la pangoni, kwa hiyo babako na mamako wajaa laana kiss waafrika wakakuzaa mweusi umejaa laana na ukoo wako mbwa wewe.

Usitutakie dhambi bure peleka laana zako kijijini kwenu kalale na dadako mzae ngozi nyeupe faken .
Inabidi uende Facebook huku hakukufai, Maxence Melo mpige ban huyu
 
Kama huwezi changia usiwakatishe tamaa wenzako. Mbona speaker alitumia hela ya umma na hamkusema?
Hilo ni swali kweli? Si kwa sababu ni mtumishi wa umma.
Yaani Leo mama Samia aumwe aalafu asitumie pesa ya umma?
 
Nilishawahi kusema, nanitazidi kusema kuwa ngozi nyeusi ina laana, ukishazaliwa mweusi basi huna tofauti na waliomwasi Mungu. Maana yangu ni hii hapa achane kupaniki Nina hoja zangu kubwa za msingi.

MC Pilipili huwa anajitolea kuwafata wagonjwa kwenye mikoa ya mbali kwa gharama zake mwenyewe lakini anahitaji msaada wa kuchanga ili Hao wagonjwa wapate matibabu, watanzania huwa tunasoma post na kuiburuza juu, nakujifanya kama hatuoni yaani mgonjwa anahitaji million 5 tu kupata matibabu lakini inachukua mpaka mwezi kukamilisha kiasi hicho, nachukia sana tu.

Mimi kwa upande wangu siwezi kuchota maji kwenye ndoo nikaijaze bahari, hapana kwakwel. Prof. Jay Ana uwezo wakupata matibabu popote pale atakapotaka kwa gharama zake mwenyewe, uwezo huo anao lakini sisi watu weusi tunajifanya hamnazo kufosi achangiwe huku makapuku waliokosa hata nauli ili waende muhimbili kupata tiba wananukishana harufu kali ya maradhi majumbani, naanapotokea mtu wa kumu expose kwenye media kutoa hata 500 tu nikipengele, sijui kwann tunatia aibu hivi.

Familia ya prof Jay haitaki michango, lakini Kuna njemba zinafosi ili zionekane kuwa na utu kuliko wengine. Hili jambo limenikwaza sana, wenye Mali hawataki kwann ulazimishe, kama Kuna haja yakuchanga ili wagonjwa wapate matibabu basi tuwachangie masikini sio pr Jay.

Katiba mpya sio ya chadema, ni takwa la wananchi

Vipi wanaochangia harusi na kuacha hao wagonjwa wa mc pilipili.?
 
Watakuja wapuuzi hapa waseme ni roho mbaya.
Yani mtu kastaafu ubunge mwaka mmoja tu umepita eti tumchangie, tutamsaidia maombi tu sio hela
Laiti mngejua Ubunge wa Term moja haukupi utajiri! Ndio stage ya kwanza ya kujipanga tu kuanzia term ya pili ndio hela inaanza kutulia.

Kumbuka una deni la V8 unakatwa, unadeni la wadhamini waliokusapoti uufikie Ubunge, Una majukumu ya familia, Jamaa amemaliza harusi tu hajakaa sawa kavunjiwa nyumba Kimara.

Acheni ushamba jamani kama hutaki kuchanga kauka usisambaze chuki!
 
Vipi wanaochangia harusi na kuacha hao wagonjwa wa mc pilipili.?
Hapo sasa he anakuja na kujifanya anajua sana na ana huruma sana utakuta hata kanisani tu hajawahi kutoa hata mia acha ombaomba wa barabarani.
 
Nilishawahi kusema, nanitazidi kusema kuwa ngozi nyeusi ina laana, ukishazaliwa mweusi basi huna tofauti na waliomwasi Mungu. Maana yangu ni hii hapa achane kupaniki Nina hoja zangu kubwa za msingi.

MC Pilipili huwa anajitolea kuwafata wagonjwa kwenye mikoa ya mbali kwa gharama zake mwenyewe lakini anahitaji msaada wa kuchanga ili Hao wagonjwa wapate matibabu, watanzania huwa tunasoma post na kuiburuza juu, nakujifanya kama hatuoni yaani mgonjwa anahitaji million 5 tu kupata matibabu lakini inachukua mpaka mwezi kukamilisha kiasi hicho, nachukia sana tu.

Mimi kwa upande wangu siwezi kuchota maji kwenye ndoo nikaijaze bahari, hapana kwakwel. Prof. Jay Ana uwezo wakupata matibabu popote pale atakapotaka kwa gharama zake mwenyewe, uwezo huo anao lakini sisi watu weusi tunajifanya hamnazo kufosi achangiwe huku makapuku waliokosa hata nauli ili waende muhimbili kupata tiba wananukishana harufu kali ya maradhi majumbani, naanapotokea mtu wa kumu expose kwenye media kutoa hata 500 tu nikipengele, sijui kwann tunatia aibu hivi.

Familia ya prof Jay haitaki michango, lakini Kuna njemba zinafosi ili zionekane kuwa na utu kuliko wengine. Hili jambo limenikwaza sana, wenye Mali hawataki kwann ulazimishe, kama Kuna haja yakuchanga ili wagonjwa wapate matibabu basi tuwachangie masikini sio pr Jay.

Katiba mpya sio ya chadema, ni takwa la wananchi

Mke wa professor j amesema kwenye interview ( wasafi) kwamba wanatumia million 3 mara nyingine 4 kwa wiki. Hivyo anaeweza amchangie. Sidhani mtu kama anazo atachangisha watu, jina linaweza kuwa kubwa, ume invest lkn hakuna cash ya kutosha
 
Laiti mngejua Ubunge wa Term moja haukupi utajiri! Ndio stage ya kwanza ya kujipanga tu kuanzia term ya pili ndio hela inaanza kutulia.

Kumbuka una deni la V8 unakatwa, unadeni la wadhamini waliokusapoti uufikie Ubunge, Una majukumu ya familia, Jamaa amemaliza harusi tu hajakaa sawa kavunjiwa nyumba Kimara.

Acheni ushamba jamani kama hutaki kuchanga kauka usisambaze chuki!
Mshkaji hata V8 hajakopa alikuwa na landcruiser ya kawaida Kama Ile ya Sugu watu hawajui personal battles mtu alizonazo na anazopigana nazo.

Kumbuka mshkaji hajaanza kuumwa Leo na wakaomba msaada leoleo huyu ameumwa kipindi tu.

Pia hiyo miaka mitano wanasahau alivunjiwa nyumba yote ikaisha ambayo ndio alitoka kuhamia tu pale ubungo. Akalazimika kupanga nyumba mbezi beach.

Kumbuka wakati wa ubunge wa term moja alipigana sana arudi Ila ikashindikana na Magufuli alimuahidi kitita na kumpa jimbo Ila mshkaji alikataa usaliti.

Leo watu wanaongea wasioyajua tu.
 
Laiti mngejua Ubunge wa Term moja haukupi utajiri! Ndio stage ya kwanza ya kujipanga tu kuanzia term ya pili ndio hela inaanza kutulia.

Kumbuka una deni la V8 unakatwa, unadeni la wadhamini waliokusapoti uufikie Ubunge, Una majukumu ya familia, Jamaa amemaliza harusi tu hajakaa sawa kavunjiwa nyumba Kimara.

Acheni ushamba jamani kama hutaki kuchanga kauka usisambaze chuki!
Wewe ni mpumbavu, yeye na mkulima aliyeko kakonko anayeumwa nan anahitaji msaada? V8 alilazimishiwa au kwa starehe zake? Halafu ww ni mbulula hujui kwamba wabunge wanapewa bure hela ya gari up to 90M bure ikizidi hapo ndio unakopeshwa hiyo iliyozidi.
Mchangie ww mwenye ukoma wa fikra labda ulikula nae hizo pesa.
NB simuombei mabaya, namuombea Mungu amjalie uponyaji lakini suala la kumchangia ni ujuha.
Kama alitapanya fedha alizopata kuanzia kwenye muziki na za ubunge basi ni wakati wa majuto. Straight like that
 
Wewe ni mpumbavu, yeye na mkulima aliyeko kakonko anayeumwa nan anahitaji msaada? V8 alilazimishiwa au kwa starehe zake? Halafu ww ni mbulula hujui kwamba wabunge wanapewa bure hela ya gari up to 90M bure ikizidi hapo ndio unakopeshwa hiyo iliyozidi.
Mchangie ww mwenye ukoma wa fikra labda ulikula nae hizo pesa.
NB simuombei mabaya, namuombea Mungu amjalie uponyaji lakini suala la kumchangia ni ujuha.
Kama alitapanya fedha alizopata kuanzia kwenye muziki na za ubunge basi ni wakati wa majuto. Straight like that
Sawa mzee naona una uchungu sana na hela zako nenda kamnunulie malaya wako champagne jumatatu😂
 
Mshkaji hata V8 hajakopa alikuwa na landcruiser ya kawaida Kama Ile ya Sugu watu hawajui personal battles mtu alizonazo na anazopigana nazo.

Kumbuka mshkaji hajaanza kuumwa Leo na wakaomba msaada leoleo huyu ameumwa kipindi tu.

Pia hiyo miaka mitano wanasahau alivunjiwa nyumba yote ikaisha ambayo ndio alitoka kuhamia tu pale ubungo. Akalazimika kupanga nyumba mbezi beach.

Kumbuka wakati wa ubunge wa term moja alipigana sana arudi Ila ikashindikana na Magufuli alimuahidi kitita na kumpa jimbo Ila mshkaji alikataa usaliti.

Leo watu wanaongea wasioyajua tu.
Wanaongea tu ilimradi yani jamaa ana battle kinyama na afya na maisha kwa ujumla! Kipindi mkewe kaanza kufanya u MC tu nilijua kuna tatizo mahali!
 
Hela yangu, moyo wangu, Prof. Mtu wetu halafu unifosi pa kuchangia?

Unapiga hesabu ya hela za mfukoni kwangu?

Aliyechangia kikubwa kwenye jamii, naye atapewa kipaumbele kuliko aliyetoa kidogo.

Professor J kaigusa jamii kwa nyimbo zake hivyo basi anachopewa ni kile alichotoa.

Sasa wewe kama jamii hujaigusa ili ikukumbuke,basi, usitupigie kelele na J wetu.

Usitarajie watu wahangaike na wewe kama wewe huangaiki nao.

Maisha kusaidiana, kama huna machango kwa jamii, basi usitarajie mchango kutoka kwa jamii, na hata ukihitaji mchango mkubwa wakati wewe hukujitoa basi utapiga kelele sana bila mafanikio.

Prof. J., ni msanii ameiburudisha jamii, ameongoza jamii, ameelimisha pia. Kwa hiyo sasa ni zamu yake naye kupewa pongezi kwa kazi yake.

Maisha ni vile unaishi.
 
Back
Top Bottom