Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,811
- 7,200
Ni sawa, mchangie Wewe labda ulikuwa malaya wake kwa hiyo ulizila hela zakeSawa mzee naona una uchungu sana na hela zako nenda kamnunulie malaya wako champagne jumatatu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa, mchangie Wewe labda ulikuwa malaya wake kwa hiyo ulizila hela zakeSawa mzee naona una uchungu sana na hela zako nenda kamnunulie malaya wako champagne jumatatu😂
Huyo jamaa mshamba kweli huenda nabishana na mtu ambaye kaja mjini zama za Mr.Chocolate flavor na kina Best NassoHuyo ni mgagagigikoko ana makasiriko ya maisha hamjui Jay eti V8 ameniona ana hiyo gari kweli???
Watu wa vichakani bana
Yule mwana kabisa mzee na tutamchangia mimi na familia yangu nzima! We kaa na njaa zako na kijiba cha roho!Ni sawa, mchangie Wewe labda ulikuwa malaya wake kwa hiyo ulizila hela zake
Huyu hayupo mjini kabisa hii no JF hata sio mtu anayeonekana humu Mara kwa mara itakuwa ametoka huko namanyele kaenda Nkasi mjini ndio amepata network sasa anajifanya keyboard hero, mavi tu.Huyo jamaa mshamba kweli huenda nabishana na mtu ambaye kaja mjini zama za Mr.Chocolate flavor na kina Best Nasso
Hahahahah bamutu ba Nyakanyasi 😂Huyu hayupo mjini kabisa hii no JF hata sio mtu anayeonekana humu Mara kwa mara itakuwa ametoka huko namanyele kaenda Nkasi mjini ndio amepata network sasa anajifanya keyboard hero, mavi tu.
Kuna wagagagigikoko wanaleta ushamba wao wa kulazimisha ndugu zao waonekane wanaumwa na wengine hawaumwi wakati maumivu ya kuumwa ni yaleyale na kuchanga ni maamuzi binafsiMbona kelele nyingi sana?
Ana ukoko kichwani ukimuona unaweza kujidharau sana.Hahahahah bamutu ba Nyakanyasi 😂
Ana ukoko kichwani ukimuona unaweza kujidharau sana.
Uko sahihi, Hoja yako ina maana kubwa.Nilishawahi kusema, nanitazidi kusema kuwa ngozi nyeusi ina laana, ukishazaliwa mweusi basi huna tofauti na waliomwasi Mungu. Maana yangu ni hii hapa achane kupaniki Nina hoja zangu kubwa za msingi.
MC Pilipili huwa anajitolea kuwafata wagonjwa kwenye mikoa ya mbali kwa gharama zake mwenyewe lakini anahitaji msaada wa kuchanga ili Hao wagonjwa wapate matibabu, watanzania huwa tunasoma post na kuiburuza juu, nakujifanya kama hatuoni yaani mgonjwa anahitaji million 5 tu kupata matibabu lakini inachukua mpaka mwezi kukamilisha kiasi hicho, nachukia sana tu.
Mimi kwa upande wangu siwezi kuchota maji kwenye ndoo nikaijaze bahari, hapana kwakwel. Prof. Jay Ana uwezo wakupata matibabu popote pale atakapotaka kwa gharama zake mwenyewe, uwezo huo anao lakini sisi watu weusi tunajifanya hamnazo kufosi achangiwe huku makapuku waliokosa hata nauli ili waende muhimbili kupata tiba wananukishana harufu kali ya maradhi majumbani, naanapotokea mtu wa kumu expose kwenye media kutoa hata 500 tu nikipengele, sijui kwann tunatia aibu hivi.
Familia ya prof Jay haitaki michango, lakini Kuna njemba zinafosi ili zionekane kuwa na utu kuliko wengine. Hili jambo limenikwaza sana, wenye Mali hawataki kwann ulazimishe, kama Kuna haja yakuchanga ili wagonjwa wapate matibabu basi tuwachangie masikini sio pr Jay.
Katiba mpya sio ya chadema, ni takwa la wananchi
Familia imeombaa Dua zetu tu Watanzania! Lakini Serekali lazima ijiiongeze kwenye game ya siasa,hapo CCM 2-Chadema 0!!Nilishawahi kusema, nanitazidi kusema kuwa ngozi nyeusi ina laana, ukishazaliwa mweusi basi huna tofauti na waliomwasi Mungu. Maana yangu ni hii hapa achane kupaniki Nina hoja zangu kubwa za msingi.
MC Pilipili huwa anajitolea kuwafata wagonjwa kwenye mikoa ya mbali kwa gharama zake mwenyewe lakini anahitaji msaada wa kuchanga ili Hao wagonjwa wapate matibabu, watanzania huwa tunasoma post na kuiburuza juu, nakujifanya kama hatuoni yaani mgonjwa anahitaji million 5 tu kupata matibabu lakini inachukua mpaka mwezi kukamilisha kiasi hicho, nachukia sana tu.
Mimi kwa upande wangu siwezi kuchota maji kwenye ndoo nikaijaze bahari, hapana kwakwel. Prof. Jay Ana uwezo wakupata matibabu popote pale atakapotaka kwa gharama zake mwenyewe, uwezo huo anao lakini sisi watu weusi tunajifanya hamnazo kufosi achangiwe huku makapuku waliokosa hata nauli ili waende muhimbili kupata tiba wananukishana harufu kali ya maradhi majumbani, naanapotokea mtu wa kumu expose kwenye media kutoa hata 500 tu nikipengele, sijui kwann tunatia aibu hivi.
Familia ya prof Jay haitaki michango, lakini Kuna njemba zinafosi ili zionekane kuwa na utu kuliko wengine. Hili jambo limenikwaza sana, wenye Mali hawataki kwann ulazimishe, kama Kuna haja yakuchanga ili wagonjwa wapate matibabu basi tuwachangie masikini sio pr Jay.
Katiba mpya sio ya chadema, ni takwa la wananchi
hahahaha nimecheka kinomaWale wanaoponya watu kwenye nyumba za ibada wako wapi?
StupidityHIV+