Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Daah hii ni habari mbaya sana huko majumbani ni mfekane war Basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe fukiza tu, kumbe virusi vinayeyuka tu, wazungu walituchelewesha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tukifanikiwa kwa njia hii kutibu corona virus, itabidi tuajaribuna kwenye ukimwi maana na ukimwi c unasababishwa na virus.
Nimejaribu kujitoa ufaham
Sent using Jamii Forums mobile app
Umbea mara nyingi ni ukweli unaosemwa na mmsiri... ndipo wakasema ÷Ukiambiwa huu ni umbea utakana?
Acheni ujinga kwenye masuala serious! Huenda huyo aliyetoroka ndiye akaja kumwambukiza bibi yako,mama yako au ndugu yako!Mpaka wanavunja geti, basi hao watakuwa wazima na immune systems zao zitakuwa juu.
Wajinga ni wale waliomfanya atoroke.Acheni ujinga kwenye masuala serious!Huenda huyo aliyetoroka ndiye akaja kumwambukiza bibi yako,mama yako au ndugu yako!