Tani sana ila sikia lazima alipe kwa maisha ya watanzania aliyoyaweka rehani
Bahati mbaya ni sisi watu wa kawaida huku mtaani ndio tutaopata tabu. Yeye na familia yake wamejichimbia chato wanakula maishaHii ni pigo kwa jiwe badala ya kauli zake za jana mbofu mbofu!Na aangalie dana anacheza na maisha ya Watanzania atapata pigo kubwa kushinda hili
Wataalam wanasema kwamba kama una mpango wa kuua chawa ama viroboto jifukize, ila kwa covid19 kujifukiza hakuna manufaa.Mzee jana kasema kama watu wako fit wasifungiwe na kama wanaumwa basi wakajifukize tu watapona.
Sasa hao jamaa kama ni kweli wametoroka basi wamejiongeza vizuri kuitikia wito wa mheshimiwa. Wanapaswa kupongezwa.
Hawa waliotoroka Amana, ni vema wangekimbilia Chato. Pale kuna hospirali nzuri. Mkuu wetu angepata nafasi nzuri ya kujifunza juu ya ugonjwa huu, na kuona majaribio yake ya kutibu kwa kufukiza yanavyoweza kusaidia wagonjwa wa Covid 19.Hii ni pigo kwa jiwe badala ya kauli zake za jana mbofu mbofu!Na aangalie dana anacheza na maisha ya Watanzania atapata pigo kubwa kushinda hili
Sivyo unavyofikiria. Kuna video nyingi na taarifa zilizozagaa kuelezea tukio hilo. Heri wanaosaidiki bila kuona.Loh!
Ishekuwa tabu sasa,ila na wewe uliyechukua hii video mbona kama upo chumbani kwako na mkeo mnapokezana kuzungumza usije kuwa unatafuta views kwenye channel yako uchwara.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Wangevunja watoroke mapema mdogo wangu asingefukiwa na serikali ya magufuli huko makaburi ya kondo beach bahari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona watu wanakaa kwenye Sauna tena yenye 75°c? kujifukiza ni natural Sauna tu mkuu...imekuwapo dahari na dahariWataalam wanasema kwamba kama una mpango wa kuua chawa ama viroboto jifukize, ila kwa covid19 kujifukiza hakuna manufaa.
Zaidi, unaweza leta madhara katika mfumo wa hewa wa ngozi, kwakua mfumo huo ni mahsusi kwa ajili ya hewa ya kawaida iliyopo katika mazingia, na sio ule moshi emited kipindi unapojifukiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Wakikudanganya?
Mkemia mkuu, kiongozi mtarajiwa wa malaika, Jiwe aka Dereva wa lori ameshasema kufukiza inatosha kuua Corona, mimi na wewe ni nani tumpinge?Wataalam wanasema kwamba kama una mpango wa kuua chawa ama viroboto jifukize, ila kwa covid19 kujifukiza hakuna manufaa.
Zaidi, unaweza leta madhara katika mfumo wa hewa wa ngozi, kwakua mfumo huo ni mahsusi kwa ajili ya hewa ya kawaida iliyopo katika mazingia, na sio ule moshi emited kipindi unapojifukiza.
Sent using Jamii Forums mobile app