Wagundua sumu ya kuua VVU mwilini

Mleta uzi kama siyo Muathirika basi atakuwa ni Mzinzi aliyekubuhu..jinsi alivyoiandika Title daah kafurahi kweli.

Kwa hiyo mtu akileta habari za Jangili kuua Tembo naye atakuwa ni Jangili? Acha kunyanyapaa watu, kesho yako hauijui waweza kumbwa na gonjwa baya kuliko ukimwi.
 
Dr.Isokopyomopoko wa JF kasema dawa yeye anayo kama unataka tiba we m-PM.
 
Utaisha, si leo wala kesho lakini UTAISHA! Kuna magonjwa yalitisha kuliko UKIMWI lakini wataalam waliyapatia dawa.

Ila utakuwa umeshatamba vyakutosha kuliko ugonjwa mwingine wowote kwakukaa muda mrefu kabla dawa haijagundulika. Ukimwi noma jamani, endeleeni kutumia every measure ya uupekuka ohoo.
 
Hakuna dawa ya virus duniani. Chanjo tu.
 
Ila utakuwa umeshatamba vyakutosha kuliko ugonjwa mwingine wowote kwakukaa muda mrefu kabla dawa haijagundulika. Ukimwi noma jamani, endeleeni kutumia every measure ya uupekuka ohoo.

Kuna magonjwa yalitisha ndugu yangu, Malaria bado inashika namba moja, Smallpox iliuwa watu zaidi ya 500M ndani ya karne ya ishirini pekee! Kuna BP, kuna Ukoma, magonjwa yapo mengi mno, Ukimwi mbona mtoto mdogo, sema kwa vile umewagusa wazinzi starehe ya wengi ndiyo maana unaonekana kama unatisha, lakini Ugonjwa kama Malari Unatisha kuliko Ukimwi!
 
Mleta uzi kama siyo Muathirika basi atakuwa ni Mzinzi aliyekubuhu..jinsi alivyoiandika Title daah kafurahi kweli.
Acha unyanyapaa wewe, JF ipo kwa lengo lá kuhabarishana na kuelimishina, mleta mada amepost hiyo kitu ili watu wahabirishwe,iweje wewe ufanye kazi ya kubashiri kama marehemu Sheikh Yahya?!
 
Acheni kebehi,kila hatua ni ya kupongezwa maana miaka mingi wataalamu walikuwa hawajapata hata pa kuanzia.Dalili nzuri ni kwamba hata kama si sisi lakini pengine watoto wetu watakuwa free na hili gonjwa.
 
Mleta uzi kama siyo Muathirika basi atakuwa ni Mzinzi aliyekubuhu..jinsi alivyoiandika Title daah kafurahi kweli.


mleta mada alimaliza.siredi yake kwa kusema "SUMU HIYO ITAANGAMIZA VAR MOJA YA VVU-nadhani kwa sasa kuna VAR zaidi ya nne, so.safari bado ni ndefu.....
 

we endekeza uzinzi uje ukione.kama sijapiga hela ya jeneza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…