Waha /Abaha ni Wanyarwanda?

Waha /Abaha ni Wanyarwanda?

nilishangaa siku moja kusikia mwanadiplomasia mmoja wa Malawi jina lake ni MWAKYEMBE. hao ukoo wa mwakyembe ni wanakyusa wa kyela na wapo pande zote mbili, tanzania na malawi.

Hiyo ni kawaida mkuu,,,

Wazungu walipokua wanagawa mipaka hawakuzingatia jamii za watu au makabila yaliyoishi humo wao waligawana kwa kuzingatia maslahi yao!!…Hivo Ramani zilizopo leo africa n za wakoloni na ziligawa jamii moja ya watu au kabila moja la watu na kuwafanya wawe nchi moja ua mbili tofauti.

Mfano masai wapo Tanzania na kenya
makonde wapo Msumbiji na Tanzania
Wajaruo wapo tanzania na kenya
Wahaya wapo tanzania na kenya

Ingawa baada ya muda kabila moja lililokua nchi tofauti huwa tofauti sana kutokana na kutengana kwa muda mrefu
 
Kama wanaipenda sana rwanda, Burundi Na DRC basi Warejee huko

Tz ni ya watanzania Kwa makabila yake... ukiona kabila lako lipo india una taka kusogeza mpaka hadi singida[emoji23] haito kubalika, au kwenu Oman unataka kusogeza mpaka hadi bagamoyo, hii sio sawa bora urejee wewe kwa babu zako au asili yako[emoji23]
Wachokoza Omulangira Hangaya
 
Ndio maana mr slim mizuka yake ikipanda huwa anapiga mkwara kigoma ni sehemu yao na ipo siku akiamua kuliamsha dude hatasita kufanya hivyo kuichukua sehemu hiyo.
 
Waha ni warundi wanaoishi Tanzania, na kinacho sababisha waonekane ni wengi Sana kigoma na Tanzania kiujumla ni vile wanaingia Kila siku kutoka Burundi na kujazana kigoma baadae wanapanda dar es salaam na mikoa mingine
 
Ndio maana mr slim mizuka yake ikipanda huwa anapiga mkwara kigoma ni sehemu yao na ipo siku akiamua kuliamsha dude hatasita kufanya hivyo kuichukua sehemu hiyo.
hii nchi isingekuwa imara katika mipaka yake ingegeuzwa asusa kama dr congo mashariki. Huko kigoma, bukoba, mtwara na kwingine mipakani nchi jirani zingejipenyeza huko na kuleta fujo ili tu zitwae maeneo hayo zikidai ni yao
 
Hiyo ni kawaida mkuu,,,

Wazungu walipokua wanagawa mipaka hawakuzingatia jamii za watu au makabila yaliyoishi humo wao waligawana kwa kuzingatia maslahi yao!!…Hivo Ramani zilizopo leo africa n za wakoloni na ziligawa jamii moja ya watu au kabila moja la watu na kuwafanya wawe nchi moja ua mbili tofauti.

Mfano masai wapo Tanzania na kenya
makonde wapo Msumbiji na Tanzania
Wajaruo wapo tanzania na kenya
Wahaya wapo tanzania na kenya

Ingawa baada ya muda kabila moja lililokua nchi tofauti huwa tofauti sana kutokana na kutengana kwa muda mrefu
Wajaluo wako mpaka Sudan,na West afrika

Ova
 
Ndio maana mr slim mizuka yake ikipanda huwa anapiga mkwara kigoma ni sehemu yao na ipo siku akiamua kuliamsha dude hatasita kufanya hivyo kuichukua sehemu hiyo.
Na waichukue sisi si tunawaitaka kigoma warundi wakongo rwanda

Ova
 
Back
Top Bottom