Wajaluo Sudan ndiyo wengi na ndy walipotokea na kuja uganda kenya tanzaniakwasababu wako karibu na nchi yenye machafuko ! Lakin huwezi kusikia tukiwambia wajaruo ni watu wa kenya au wamakonde ni watu wa msumbiji.
Ni rahisi kumtolea mtu mfano mbaya kuliko mzuri hasa kwene malumbano
DuhWarudi tu kwao wanatusumbua ma ueukaji na nyungo kuna muha kapaa na kibuyu mda mfupi uliopita
Kagame anaweza kutamani hilo lakini uwezo huo hana. Kanchi kama mkoa tu
Duh
Wewe mwenyewe ukijichunguza utajikuta asili yako syo ya hapa [emoji1]
Ova
Dar tu kuna sehemu inaitwa msiganiKweli kabisa. Kuna sehemu moja nilitembelea pale Tabora inaitwa Ulyankulu , eneo karibia lote wamejaa warundi. Wengi wamezaliwa hapo wamekulia hapo. Mpaka Sasa wamekuwa watanzania, lakini asili yao ni Burundi.
Mbona nishawahi kulitolea ufafanuzisasa we jamaa kila neno unasema OVA
ulishakuaga mlinzi wa wanyama pori[emoji3][emoji3][emoji3]
HatakiIla Zitto sio muha. Zitto ni mcongo.
Mkuu, si kweli. Labda,si mzuri sana kwenye hayo mambo ya Historia,ila WAHA wapo. Ukiachilia mbali makabila ya kikoloni ya wahutu na watutsi,makabila hayo ndo yanayotambulika. Kuhusu wametoka wapi ndo sijui. Kama ramani yako ilivyo, kama Rwanda na Burundi miaka hiyo zilikuwa part ya Tanganyika,basi itakuwa ile hama hama ya watu. Maana mpaka mtu awe wa kabila fulani,ni kwamba kuna chimbuko.Kama ulizani umesikia yote !! si kweli
View attachment 2810568
Chanzo: Chronicles Rw
UCHAMBUZI!
Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani??
Tuanze hapa
Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye alitawala pwan yote na baadae muarabu wa oman akamfurusha na kuikalia pwani ya tanganyika! hata hivo ukomo wake haukuhusisha maeneo ya ndani ya Tanganyika
Ujerumani ndio mkoloni wa kwanza kukalia eneo hili na kuliita Koloni la ujerumani
View attachment 2810796
Katika utawala wa mjerumani Rwanda na burundi zilikua Eneo la Tanganyika lililoitwa British East Africa kama inavoonikana kwenye raman.
Baada ya Vita ya kwanza Ujerumani ilipokonywa maeneo yake hivo Uingereza ilichukua eneo ambalo ujerumani mwaka 1920 ililikalia lakini haikuhusisha Rwanda na Burundi.
Hivo hakuna mahala sehemu yeyote ya tanganyika ishawai kuwa sehemu ya rwanda au burundi ila RWANDA NA BURUNDI zilikua sehemu ya tanganyika wakati wa utawala wa ujerumani mwaka tajwa hapo juu.
WAHA
Ni kabila la kibantu linalopatikana Tanzania wanaongea lugha ya Kiha ambacho kina husiana au kukalibiana na kirundi.
Mji mashuhuli kwenye historia ya waha ni ujiji lakini pia Kasuru.
Kiufupi Waha wanapatikana Tanzania kiasili ingawa kilugha wanaweza kuwa wanaingiliana na taifa jirani.
Rwanda na Burundi hamna Kabila la waha hivo hawana kitovu chochote au chimbuko la hizo nchi labda tu kwa kuhamia na kuomba uraiaView attachment 2810861
View attachment 2810862
Wawachukue tuAisee..
Kwa hiyo hao Ha wanatakiwa huko Rwanda, au?
Hayo unayoyaongea umeyatoa wapi?Hahaha..
Baada ya PK kuzoea kugaragaza DRC anadhani anaweza kuja kuteka sehemu ya TZ!
Anaongezaje...sio wapalestina wale Wana baba Tanzania... AjichanganyeHizo ni janja za kagame kutaka kuongeza ardhi
Haya raisi wa kijiweni. Mipango ya PK akuhusishe kama nani?Kuwa muelewa, waha hawajawahi sema chochote wala hawahangaiki. Anayehangaika ni PK, anataka kuleta za Idd Amin kuhusu kagera.
Masanja alisema tunanunua vifaru vya nini kwenye sherehe za uhuru mbele ya PK.
Lete hoja na viambatanishi si kuongea kutoka hewani mkuu
Unaweza kutusaidia kumbukumbu ya mazungumzo yake na Mamadou?Maneno kama hayo PK aliyatamka alipo kwenda mtembelea MAMADOU DOUMBYA ila hakutaja maeneo ya TZ nadhani safari hii amemtuma ofisa wake akayaseme.