Waha /Abaha ni Wanyarwanda?

Then what next? Mbona Wangoni wametokea Africa ya kusini, wayao Malawi na Msumbiji, Wamakonde Msumbiji... Au hao Waha wanahitajika kwao na wao wanakataa kwenda?

Hili swali iulize serikali ya rwanda
 

Big up kwa ufafanuzi mzuri
 
Huu ni wehu flani wa kupenda superior race
Wazenji wote wanadhani waarabu
Waha wengi husema wao watusi

Wanasema watusi ni sawa!!!

Kuna wahamiaji wengi wa kitusi wanaishi kwa baadhi ya wilaya , ambao kiasili ni watusi ila si waha na wamejipa uha kwasababu tanzania haitambui kabila kama watusi kama ni kabila la watanzania ila n wahamiaji na wakimbizi!!

Wilaya kama Manyovu wamejaa huko watusi
 
Kiha kinashabiana kihangaza na kirundi...sio kinyarwanda labda neno moja moja
Ila kinyambo na kinyankole kinashahabiana na kinyarwanda somehow
 
Kuna kiongozi mmoja alishupalia sera ya majimboism huenda mpango wake mbele ya safari ilikuwa ni kuanzisha Ha teritory
 
Neno uraia limeanza kutumika baada ya Uhuru hivyo Waliokuwa wanaishi Tanganyika Walitangaziwa kuwa Wao ni Watanganyika na kama hutaki ondoka Tanganyika wao wakabaki Tanganyika hivyo ni Watanganyika hivyo basi sass tumeungana na Zanzabar hivyo wao ni Watanzania hivyo acha Upuuzi hatuangalii kabila bali ulipozaliwa
 
Me kama Muha wa kigoma naomba Paul Kagame atuchukue tu[emoji855],,CCM wakitoka madarakan aturudishe TZ.
Siyo mpaka uchukuliwe unaweza kwenda tu, halafu kipindi cha operesheni kimbunga ulikuwa wapi kwani, siungeenda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…