Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaKubaguana na kudharauliana ni moja ya sababu inayotufanya tuwe masikini.
Jamaa kaona mwenzake kafanikiwa, badala ya kumdadisi ajue siri ya mafanikio, anakimbilia kusema uchawi.
Yani hapo hata kama Waha wametengeneza network ya kusaidiana, kwa dharau na ubaguzi huu, hatuwezi kujifunza kutoka kwao.
Kama huyo dogo kakubaliWewe ungekubali?
Duka lenu wote la mamilioni then wew utembeze sambusa juani yeye yuko kivulini anahesabu noti tu
😄😂😁😅😆😆😅mwakani anamiliki sheli 🤣
Vina muda bhasNakubali biashara ni hatua, ila hatua alizopiga huyu muha ni uchawi kabisa. Alikuwa akitembeza sambusa.
Ukihesabu kwenye ile pot yake ni kama sambusa 50-100 kwa siku. Hapo hupata 25k-50k kwa siku, ukiondoa gharama za kuandaa, muda na chakula, lets say kwa siku anapata faida ya 10-20k. Kuumwa na matatizo mengine pia lazima tuyahesabu.
Duka la kawaida la vifaa vya pikipiki ni atound 5ml -10ml. Duka la jumla mtaji wake si chini ya milioni 25.
Sasa kutoka kwenye kutembeza sambusa mpaka kufungua duka la milioni zaidi ya 25 ghafla inawezekana vipi kama si uchawi? Acheni uchawi.
Angepitia hatua kadhaa mpaka kumiliki duka kubwa kiasi hichi sawa, sasa huyu dogo kapotea kuuliza yuko wapi naambiwa yuko Ilala kafungua duka la jumla la vifaa vya pikipiki.
Ikumbukwe kodi ya fremu Ilala lazima uandae kama milioni 5 hivi wakati wa kuanza biashara.
Mkuu una muda mwingi mpk kuyajua yote hayaHoja sio kula kuvaa hoja iko hapa ni waha tu wenye uwezo wa kuicha mke na watoto kwa kipindi kirefu bila hata kuwapigia cm kisa utafutaji hela ya muha ailiwi na ndugu wala mke mtoto
Muha anaweza ugua ndani hoi asiende hositpal hali yakuwa yuko na milioni 3 ndani muha ni mtu anae weza mpiga babake mzazi kisa kamkomesha sh 50000 kashindwa kulipa muha ni mtu anae weza kutembeza miwa machungwa kuuza nadafu akawa analala hanapo kaza tolololi kwa miaka 5 mfululizo
Nenda pale mabibo kuna muha anauza maji na sigara na vocha kaangalie anako lala kwenye banda Miaka 5 katoka kibondo kaacha mke na watoto no kupiga simu no kutuma hela ya matumizi no kutuma ada ya shule waha wengi wao wako hivio utafutaji wa waha ni mgumu sana wamezidi ubahili fikilia mtoto kumjazia watu au kumkwida baba yake kisa hela !!kaishi na waha ujifunze mengi
Utafutaji wao ni wakujima sana uchawi ni sehemu ndogo sana labda huko kwao lakini walipo mjini wauza kahawa mbezi kariakoo wauza viombo mitumba madafu nk hela yao hsiliwi na mtu sio mzazi mke wala mtoto je makabila mengine ya aweza ?? Mimi siwezi
We kiswahili ulijifunza wap mkuu?!!ipo kata gani hii Nyagwa anapokaa mleta uzi?
ukitumia akili zako kila saa unaweza data!We kiswahili ulijifunza wap mkuu?!!
Au ndo umeamua kuwa mjinga kwa kujinufaisha ww na lengo lako?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu! Ila wanaharakati sana. Tatizo lao hawashikani mikono.Ngariba1 apposto kuna muujiza huku😀