Waha mnalalamikiwa sana na Wahudumu wa Ndege kwa aina hii ya ushamba wenu

Huyo anaemlalamikia MUHA anaongea asiyo yajua.
 
Haya ' Mshamba ' mwingine wa Kiha amekuja. Karibu sana Mkuu ila punguzeni ' ushamba ' mnatuaibisha kunakotukuka wana Kanda ya Ziwa wenzenu.
hakuna kitu kama hicho, basi tungekuwa tunapanda na mawese na migebuka yetu ndani,
 
Huyo anaemlalamikia MUHA anaongea asiyo yajua.

Utasema yote leo ila point ipo pale pale kwamba Waha acheni ' ushamba ' wa kupanda ndani ya Ndege na Vyakula mlivyoviweka katika mifuko myeusi kisha Ndege ikiwa angani mnavitoa na kuanza kuvila na mkivimbiwa mnaanza ' Kuwajambia ' na abiria wengine.
 
Hii mada imekaa kiumbea,na ndio maana haina ushahidi wa kujitosheleza.
 
Utasema yote leo ila point ipo pale pale kwamba Waha acheni ' ushamba ' wa kupanda ndani ya Ndege na Vyakula mlivyoviweka katika mifuko myeusi kisha Ndege ikiwa angani mnavitoa na kuanza kuvila na mkivimbiwa mnaanza ' Kuwajambia ' na abiria wengine.
Riwaya yako nzuri,kwa kuwa ni story za kulishwa haina shida.
 
Kwahiyo hujagundua kwamba hao mademu wa kiha wanakungángánia kwa sababu ya ushamba wako wa kuhonga huku unaua familia yako kwa njaa? punguza ulimbukeni wa mbunye muraa, utaishia kupiga gitaa la dally kimoko
 
Acha uongo wewe..
Waha tu wastaarabu sana + ukarimu kuliko makabla yenu ya wavuta banghe, dada na mama zetu ni wastahimirivu ndo maana hata wakiyeswa hakiimbii nyumba..
 
Naona kujuzwa wazee, nikitaka kuwa mbishi nikasomee chuo gani pale ujiji.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwanza kabisa unatakiwa kuomba radhi kwa huu upumbavu wako. Napili kumbuka huo ubishi unaouzungumzia tayali vijana wetu wawili kutoka kigoma wamejitahidi kuwaambukiza watanzania wote kila siku wanabishana nani mkali kati ya Diamond Na KIBA? Nahuu ubishi haujafika mwisho. Na tatu kuhusu dadazetu kuwaganda kwanza nyie nimaboya kwahiyo dadazetu wanawaendesha!!!!! Na NNE kuhusu kula ndani ya ndege. Kwanza kile nichakula nasio sigara kwamba ukila karibu nawatu utawaathir kiafya nakama wanaona kero basi waweke tangazo kwenye ndege zao kwamba hairuhusiwi kulia ndani yandege
 
Halafu sijui ni kwanini Wasichana / Wanawake wa Kiha ( Kigoma ) wanawapenda sana na mno Wanaume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) pamoja na kwamba huwa tunawapiga na kuwatoa ' ngeu ' kila uchao lakini wanavumilia na kutung'ang'ania.
Wanaume wa Mara mnaenda tohara mkiwa vijana mnakaribia balehe.
Tohara ya kienyeji inachonga uume vizuri.
Na ukubwa haupungui.ile roughage kwenye shingo ya uume ina wakuna wanawake wkt wa tendo.
Wanaume wa Mara mnapendwa sana kwenye sex pia ukakamavu wa misuli hupendwa na wanawake.
 
Kwahiyo hujagundua kwamba hao mademu wa kiha wanakungángánia kwa sababu ya ushamba wako wa kuhonga huku unaua familia yako kwa njaa? punguza ulimbukeni wa mbunye muraa, utaishia kupiga gitaa la dally kimoko

Mmmmmmh.....Mtani hili ' dongo ' lako umenipatia na limeniingia kweli kweli. Shikamoo Muha na Waha wote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…