Waha mnalalamikiwa sana na Wahudumu wa Ndege kwa aina hii ya ushamba wenu

Mambo yote bana yapo mwisho wa reli, hiyo mipisi yenu tupa kuleee,
 
LOL! Wanalala ghafla na kuanza kuporomosha mashuzi! Ha! haa! haaa!
 
Kwanza unapaswa kujua kuwa Waha wanathamini sana vyakula vyao, na pili kula, kushiba na kuanza kujamba ni mfumo wa mwili. Sasa hapo hao Dada wanaona vyakula vyao haviliki wanaanza kulalama.
Na Gentamycine kama umemuoa Muha umepata Bahati sana. Waha hawakeketi, wa kwenu wanakeketa, so furahia maisha hayo.
 
Waha wanatuangusha mno wana Kanda ya Ziwa. Hivi mtaingiaje katik Ndege na Vyakula vyenu mmeweka katika mifuko myeusi halafu Ndege ikiwa tu angani mnaanza kula hovyo hovyo hadi ' kuwakera ' abiria wengine? Wabadilike upesi sana.
Hiyo siyo kosa, vyakula vya kwenye ndege ni karoti, nyanya, pilipili hoho na mikate, sasa watu waache kula migebuka na ugali wa Lowe kwa ajili ya madasa nayo, haina maana. Ni kheri mtu aonekane mshamba lakini anafaidi maisha kwa mfumo wake
 
Kwenye ndege unaingia na chakula? Yaelekea unaziona kwenye tv tu
 
Ekaye mutama, niko tuli. Wala ntiwotuyobhola.
 
Nikikumbuka miaka ya 90' waha walikuwa wanaposafiri ndani ya Treni lazima wanakuwa wamejitwisha mzigo kichwani ss sijui ulikuwa ushamba
 
Hahahahahah nilikuwa na Imagine yani inavyokuwa pale first class akiteta na economy class huku akizingatia miiba ya samaki.
 
bora kwenye ndege hawa waha kwenye treni wanakunyaga kabisa

Mkuu umeharibu kabisa ' mbavu ' zangu kwa Kunichekesha na hakyanani ' Waha ' wenyewe wakija na wakiona hii post yako hawatakuacha salama hivyo anza kujiandaa Kisaikolojia kwani umewapiga ' dongo ' kali na la mwaka. Nimecheka mno Mkuu.
 
Wanapitishia wapi hicho chakula hadi waingie nacho
 
Mkuu umeharibu kabisa ' mbavu ' zangu kwa Kunichekesha na hakyanani ' Waha ' wenyewe wakija na wakiona hii post yako hawatakuacha salama hivyo anza kujiandaa Kisaikolojia kwani umewapiga ' dongo ' kali na la mwaka. Nimecheka mno Mkuu.
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…