asante kwa kunifungua macho...kwa kweli hawa wahadhiri wa udom wapo kimya sana....daz it mean dat wana jambo ambalo wengine hatujui?au labda tuwaulize wanachuo wa udom,hapa natoka kumuuliza mama yangu mzazi anasoma udom anajibu,"sijawahi kusikia...sijui.."kwahiyo nashindwa kuelewa...