Dume la Nyani
Member
- Apr 14, 2011
- 37
- 8
tumekuwa tukisikia umoja wa wahadhiri udsm wakiandaa makongamano muhimu yanayo husu ukusanyaji wa maoni kuhusu katba mpya,bt kinachonisikitisha hawa wasomi wetu wa udom wamekaa kimyaaa...nn maana ya kuwa msomi ikiwa unashindwa kuisaidia jamiii yako..?