wahadhiri UDOM vip..?

wahadhiri UDOM vip..?

Dume la Nyani

Member
Joined
Apr 14, 2011
Posts
37
Reaction score
8
tumekuwa tukisikia umoja wa wahadhiri udsm wakiandaa makongamano muhimu yanayo husu ukusanyaji wa maoni kuhusu katba mpya,bt kinachonisikitisha hawa wasomi wetu wa udom wamekaa kimyaaa...nn maana ya kuwa msomi ikiwa unashindwa kuisaidia jamiii yako..?
 
Yawezekana ikawa kweli kwamba hawajawahi kuandaa discussion ya issue yoyote muhimu ya kitaifa. Hiyo ya katiba tayari UDASA wameisha i-handle tena kwa ufanisi mkubwa. Yawapasa wasomi wa UDOM kujipanga ili kutetea na kuzilinda PHD zao.
 
MAKUMIRA HKMU, KCMC, Bugando MUHAS...
 
asante kwa kunifungua macho...kwa kweli hawa wahadhiri wa udom wapo kimya sana....daz it mean dat wana jambo ambalo wengine hatujui?au labda tuwaulize wanachuo wa udom,hapa natoka kumuuliza mama yangu mzazi anasoma udom anajibu,"sijawahi kusikia...sijui.."kwahiyo nashindwa kuelewa...
 
Back
Top Bottom