Wahadhiri vilaza huzalisha wasomi vilaza

Wahadhiri vilaza huzalisha wasomi vilaza

Nimepitia, ni kweli fill in the blanks ni type of test allowed even at a university level. LAKINI: contents/details/framing za swali matters a lot! Maswali ya SUA (kama kweli ni ya SUA) yako under detailed???? (sijui niiwekeje) for a University student.
Mfano, nikimpa mwanafunzi swali la fill in the blank kama hili katika immunology:
1. There are as many stimulated lymphocytes as determinants forming the antigen
. This mechanism specifies the concept of ...................................................
2. Recognition of a single antigenic determinant is called.................................................

Lipi linapimwa kwa undani uelewa wa mtoto na linakidhi level ya University student (anyway kama umesoma science particularly immunology).................... najaribu kuwaza tu kama mwalimu
Hapo penye nyekundu nakubaliana nawe. Kuhusu hiyo paper ya "SUA" naamini nahitaji kujua details za hiyo course na vitu vingine (kama nilivyo changia hapo juu), na pia walengwa wanahitaji knowledge na depth ya Principles of Food Processing and Preservation ya kiasi gani kujua ubora wake. Kwa mfano hii paper ingekuwa ni kwa wanafunzi wa food science na technology huenda tungetegemea maswali ya undani zaidi kuliko ilivyo hapa kwa general agriculture (elective).

Kwa mfano wako wa immunology namba 2 ni kuhusu terminolgy where as number 1 I believe ni a fundamental concept ya jinsi ya immune system inavyokuwa fired na antigen-specificty/heterogeneity na clonal expansion so ni ya undani zaidi. Of course swali ni wewe mwalimu unatafuta nini, objectives za course, stage ya course uliyofikia, na aina ya wanafunzi (utanisamehe kama immunology yangu imekuwa stale early 80's).

Kwa kuwa mleta mada alizungumza na rafiki yake mhadhiri wa SUA ningetegemea mfano aliotoa kuelezea uwapo wa walimu vilaza ungekuwa na nyama zaidi.

Baada ya kusema yote haya kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na walimu "vilaz.a" hata vyuoni hivyo vyuo na TCU viwe macho na system ya external examiners ipewe mkazo stahiki. Elimu ya kufundisha hasa kwa wasiopitia elimu hiyo ambao ni wengi vyuoni nayo tusi ipuuze.
 
Hapo penye nyekundu nakubaliana nawe. Kuhusu hiyo paper ya "SUA" naamini nahitaji kujua details za hiyo course na vitu vingine (kama nilivyo changia hapo juu), na pia walengwa wanahitaji knowledge na depth ya Principles of Food Processing and Preservation ya kiasi gani kujua ubora wake. Kwa mfano hii paper ingekuwa ni kwa wanafunzi wa food science na technology huenda tungetegemea maswali ya undani zaidi kuliko ilivyo hapa kwa general agriculture (elective).

Kwa mfano wako wa immunology namba 2 ni kuhusu terminolgy where as number 1 I believe ni a fundamental concept ya jinsi ya immune system inavyokuwa fired na antigen-specificty/heterogeneity na clonal expansion so ni ya undani zaidi. Of course swali ni wewe mwalimu unatafuta nini, objectives za course, stage ya course uliyofikia, na aina ya wanafunzi (utanisamehe kama immunology yangu imekuwa stale early 80's).

Kwa kuwa mleta mada alizungumza na rafiki yake mhadhiri wa SUA ningetegemea mfano aliotoa kuelezea uwapo wa walimu vilaza ungekuwa na nyama zaidi.

Baada ya kusema yote haya kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na walimu "vilaz.a" hata vyuoni hivyo vyuo na TCU viwe macho na system ya external examiners ipewe mkazo stahiki. Elimu ya kufundisha hasa kwa wasiopitia elimu hiyo ambao ni wengi vyuoni nayo tusi ipuuze.
Nakubaliana na wewe kabisa. You are very right and bright, I can say! . Nadhani wewe ni mwalimu wa zamani kama ni wa siku hizi umejitahidi kusoma na kuelewa..... the saying goes : Teacher can teach, students can refuse to learn; and vice versa!

We nimekukubali, kama ni miaka ya 80 bado uko hivyo, uko vizuri. Looks you were good at Immunology kama ni kwenye 80's and you have not been practicing since then. ........ Three cardinal characteristic of an immune system :specificity, memory and self and nonself recognition/discrimination..... landa vimeongezeka vingine with advance of science.
 
Wengine wengi ni GPA za kutumia nguvu za ziada. ..they don't flow naturally. Rarely we encounter those lecturers that you go out with something....the look of Prof Materu who was at the faculty of engineering...Prof. Luhanga kama akiacha makidai yake. ..Prof Mshoro ambaye I salute with ovation because he is the genius etc
 
Nakubaliana na wewe kabisa. You are very right and bright, I can say! . Nadhani wewe ni mwalimu wa zamani kama ni wa siku hizi umejitahidi kusoma na kuelewa..... the saying goes : Teacher can teach, students can refuse to learn; and vice versa!

We nimekukubali, kama ni miaka ya 80 bado uko hivyo, uko vizuri. Looks you were good at Immunology kama ni kwenye 80's and you have not been practicing since then. ........ Three cardinal characteristic of an immune system :specificity, memory and self and nonself recognition/discrimination..... landa vimeongezeka vingine with advance of science.
Great-nami nimejifunza kupitia uzi huu. Nimependa umeifanyia kazi na haki hii topic I wished majadiliano hapa yangekwenda na ku-dig taarifa. Thanks
 
swala la elimu inabidi liwekewe mikakati ya muda mrefu tatizo kila waziri wa sasa anayepewa nafasi anafikiri anaweza kubadilisha mambo kwa wakati mmoja.Tumekuwa na mikakati mingi ya kuboresha elimu lakini wakati tukiandaa mikakati hiyo tunasahau kuboresha maslahi ya walimu matokeo yake watu wenye uwezo wamekuwa wakiikimbia hiyo fani na waliobaki wamekosa morali ya kufundisha. Msingi wa elimu unatakiwa ujengwe kuanzia ngazi ya chini kabisa ila tumekimbili kuongeza idadi ya vyuo vikuu ikiwemo kubadilisha vyuo vya ualimu kama duce na mkwawa bila kuzingatia mahitaji halisi ya nchi.Pia tumeua vyuo na shule za ufundi.Mwisho elimu na siasa visichanganywe.

Umeongea kweli mkuu,kuna siku nilikua naongea na mzee mmoja aliesoma na JK. Aliniambia Elimu ya sasa haina nyuma wala mbele,matatizo halisi ya elimu hayatazamwi,bali wanangaika na vimvuli vyao.
Alinieleza jinsi gani elimu ya shule ya msingi ilivyokua inawajenga katika kuongea,kuandika na kujieleza kwa lugha zote mbili. Sasa hivi mwanafunzi wa shule ya msingi hawezi kujielezea mwenyewe,lakini ukimpa mtihani anafaulu. Inaonyesha jinsi gani wanafunzi wanakariri ili wafaulu tu.
Jambo lingine alilonieleza ni kubadilishwa kwa vyuo vya ufundi na vyuo maalum kama IDM (Mzumbe),MUST(Mbeya Technical college) kuwa vyuo vikuu. Vyuo kama IDM,IFM,DIT,ATC,MTC ndio vyuo vilikua vinaongoza kwa kuzalisha watendaji wakubwa wa serikali lakini baadhi ya vyuo hivyo vimebadilishwa na kuanza kufundisha kama vyuo vikuu wakati halikua lengo halisi la hivyo vyuo na kuchangia kupungua kwa wataalam watakaofanya kazi serikalini.
Yako mengi sana tunatakiwa kuyaondoa/kuyaongeza kwenye huu mfumo wa sasa wa elimu hili tupate elimu iliyobora.
 
HAUNA TOFAUTI NA MASWALI YALIOKUWA YANANIPA UMAARUFU PRIMARY!
MFANO: Tanzania ilipata uhuru mwaka............................
Chama cha ASP na kilianzishwa mwaka....................
Mkuu wa mkoa wa Singida anaitwa ........................ na mkoa huu unapatikana .................... mwan nchi???

Bado na mimi nasisitiza elimu ya wahitimu wa tz vyuo vikuu ni wahitimu vyeti, kichwani hawana kitu.
Kweli kabisa mkuu.

Au hivi: CCM = Chama Cha.........
 
Mada ilisema kuna walimu vilaza na kutoa mfano wa paper hiyo ya SUA na mjadala ukawa kuhusu quality ya hiyo paper kwamba haikidhi quality ya chuo. Mimi nikasema huwezi ku conclude mwalimu ni kilaza kwa kuangalia hiyo paper pekeyake. Mkasema hata kama ni test bado haukidhi level ya degree (ya kijinga kijinga) na kudai mfano wa chuo apart from SUA chenye test kama hizo.
Evaluation instrument uliyoweka inatumia fill in the blank type of test au wengine wanaita completion test na wachache wanaiweka kwenye short answers kwani mwanafunzi ana supply a word or a phrase. Wataalam wanasema ni nzuri kwa kutest factual information ( Kwa test ya kwanza unaweza ukafocus on terminologies etc). Sitawapa mfano wa chuo kinachotumia aina hii ya test lakini ninawapa references kuhusu testing ambazo hutumika na vyuoni kutoka hukohuko ughaibuni. Natarajia mtafanya homework ili kupata jibu.


https://www.depts.ttu.edu/tlpdc/Res.../HowdoICreateaTestforMyStudentswhitepaper.pdf

Types of Questions

LibGuides: Learning skills: Fill-in-the-blank questions

Assessment by Richard Hall

Namalizia kwa kusema niko serious na nilichoandika.
Mkuu hapa naona umetuletea STUDY SKILLS. Maswali yako wapi?
 
Kwahiyo una maana mhadhiri akitunga mtihani mgumu ndio anaonekana kipanga!?
Akitunga mtihani mgumu ndio anakuwa amemsaidia mwanafunzi kujifunza, sio kwa kumkaririsha madude ya kipuuzi ambayo hayana impact ktk maisha ya mwanafunzi.
 
Hata kama alikuwa anapima oil mtihani huu haukubaliki kwa level ya chuo kikuu.
Kwa namna yoyote mtihani (upuuzi huu) haukubaliki kwa level ya Chuo Kikuu, labda kwa hivi vya kipuuzi vya kuchipua kama uyoga
 
Umetoa maada nzuri ila inaelekea muoga.Binafsi napenda mabadiliko ila usiangalie question paper anza kuangalia mtaala unataka kutengeneza watu kwa kiwango gani ndo uangalie mtihana unavyotungwa.
 
Umetoa maada nzuri ila inaelekea muoga.Binafsi napenda mabadiliko ila usiangalie question paper anza kuangalia mtaala unataka kutengeneza watu kwa kiwango gani ndo uangalie mtihana unavyotungwa.
Mkuu kwa hiyo kumbe mtaala unakusudia kutengeneza VILAZA?
 
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) tukabahatika kubadilishana mawazo ya hapa na pale kuhusu elimu inayotolewa chuoni siku hizi.

Moja ya sababu aliyonieleza inayopelekea kushuka kiwango cha elimu yetu ni wahadhili vilaza ambao huzalisha wasomi vilaza. Kwa kusisitiza hili jambo, ilinilazimu kufanya maarifa ya ziada ili kujiridhisha na maelezo yake. Ndipo nilipobahatika kupata paper iliyowahi kutungwa kwa ajili ya wanafunzi wa mwaka wa pili katika Idara ya Sayansi ya Chakula na Tekinolojia kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 442959

View attachment 442960

Nilipoona paper hiyo nilishikwa na butwaa. Nilidhani huenda ilitungwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha Kwanza na sio wa mwaka wa pili. Kwa mitihani ya kipuuzi kama hii tutarajie kuzalisha wasomi wa aina gani? Nilichogundua ni kuwa wahadhiri wengi wana uwezo mdogo sana. Ndio maana wanatunga mitihani hafifu kwa sababu hawana uwezo wa kutunga mitihani “akili kubwa”.

TUJADILIANE
Ni nani alaumiwa hasa kwa uuaji huu wa elimu ya taifa? Je ni serikali, wahadhiri, wanafunzi, sayansi na teknolojia, wazazi au jamii nzima ya watanzania?

Serikali ilaumiwe?
Kwa mujibu wa utafiti (usio rasmi) uliofanyika hivi karibuni, serikali ina mkono wake katika kudorora kwa elimu ya nchi hii kwa kuingiza siasa kwenye elimu, kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Kivipi? Ili kujijenga kisiasa serikali iliamua kwa makusudi kabisa kurahisisha elimu yetu kwa maana ya kupunguza viwango vya ufaulu (au kutanua goli) ili wanafunzi wengi zaidi wapate nafasi za kuingia sekondari. Mitihani ilirahisishwa mno kwa lengo la kuwafanya wanafunzi wafaulu kwa wingi ili kujaza shule za kata (sema makaburi ya kuzikia elimu) zilizoanzishwa kisiasa na serikali.

Lengo hasa lilikuwa ni kujaza shule za sekondari zilizokuwa zimefunguliwa kwenye kata, hata kama hazina walimu. Ndipo wakaibuka wanafunzi wanaofaulu kwenda sekondari ilhali hawajui kusoma na kuandika. Msumari wa kwanza wa sanduku la kuzikia elimu yetu uligongewa hapa.

Wanafunzi vilaza wakafaulu kwenda sekondari na huko sekondari pia mitihani ikarahisishwa ili wanafunzi wengi zaidi wafaulu kwenda vyuo vikuu. Matokeo yake, wanafunzi vilaza wakaingia vyuo vikuu.

Sababu nyingine inayopelekea serikali kulaumiwa katika hii kadhia ni uzembe wake wa kuwahudumia wanafunzi kwa maana ya kuwapa mahitaji yao ya msingi (boom) kwa wakati hivyo kupelekea wanafunzi hao kuishi katika mazingira ya njaa na kukata tamaa.

Na kwa sababu hiyo, wahadhiri wao huwaonea huruma na kuwatungia mitihani rahisi kwa kuwa hawasomi vizuri kwa sababu ya njaa kali waliyo nayo.

Baadhi ya wahadhiri wanalinda ajira zao au nao ni vilaza?
Ili kulinda ajira zao, wahadhiri nao wakaamua kutunga mitihani rahisi ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanaoshindwa (discontinue) kuendelea na masomo. Jambo hili tunaweza kulitazama kwa kutumia dhana mbili: Mosi, wahadhiri huamua kutunga mitihani rahisi kwa sababu ya kulinda ajira zao.

Kwamba kama wakiamua kutunga mitihani migumu, na kwa kuwa wanafunzi ni vilaza, wanaweza kufeli darasa zima hivyo mhadhiri kukosa kazi ya kufanya. Kwa hiyo, ili kuhalalisha uwepo wake, inambidi mhadhiri atunge mitihani rahisi kuwawezesha wanafunzi wengi kufaulu.

Dhana ya pili ni kwamba wahadhiri wengi inawezekana kabisa wakawa vilaza, hasa ukizingatia namna wanavyopatikana, hivyo hutunga mitihani rahisi kulingana na uwezo wao mdogo.

Sayansi na teknolojia imechangia?
Kufuatia kukua kwa sayansi na teknolojia asilimia kubwa ya wanafunzi wanamiliki na kutumia vifaa vya intanet (kompiuta, simu, laptops, ipads, nk), hivyo hutumia muda mwingi kuchat na kutafuta wapenzi kwenye mitandao badala ya kujikita kwenye masomo.

NINI KIFANYIKE?
Serikali ichukue maamuzi magumu ya kufufua elimu kuanzia ngazi ya chekechea hadi chuo kikuu. Utaratibu wa kupata wahadhiri uangaliwe upya. Aidha, serikali ikaze uzi kwenye mitihani ya shule za msingi, sekondari na vyuo vya kati ili kuwachuja vizuri wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu.

Tusiangalie zaidi takwimu za kisiasa. Ule utunzi wa mitihani migumu kama ilivyokuwa zamani urejewe. Hata ikibidi wanafunzi 100 ndio wafaulu kwenda chuo kikuu na iwe hivyo. Kusiwepo na uchakachuaji wa matokeo ili kuongeza kiwango cha ufaulu kisiasa.

MJADALA UMEFUNGULIWA….
Tujadiliane kwa ufasaha kuhusu hili tatizo la ukilaza vyuoni mpaka tupate jibu. Shambulieni hoja badala ya kumshambulia mtoa mada. Hata kama kuna mtu ataona hii hoja inamgusa moja kwa moja, awe mvumilivu…asitukane au kuchangia kwa jazba.

Sote tunajenga nyumba moja, tusigombee fito kamwe. Mods naomba mnilinde maana nina hakika kuna watu wanaoniona mbaya kwa kuwa wanadhani kitumbua chao nimekitia mchanga. Aidha kuna wanaopenda mteremko ambao hawependi kuona wanakaziwa kwa namna yoyote ile.


Nawasilisha.
Sijawahi kuona nchi yenye elimu ya kijinga na kipumbavu kama Tanzania
 
  • Thanks
Reactions: qqq
ELIMU YETU NI BOMU LILILOANZA KUTULIPUA WATANZANIA WA KARNE HII.

KUNA CHUO KIPO KULEE SEHEM SEHEM KINATOA SHAHADA YA SHERIA ,KINA MALEKCHALA WATATU TU, TENA WENYEW NA TUTOLIO ASISTANTI.
NA HAWAINGII DARASANI.
NA WATU WANAGRADUETI TU KILA MWAKA.HAHAAAA
KUNA TATIZO KWANI
Nchii hii ngumu sana ndugu yangu, matatizo kila kona
 
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) tukabahatika kubadilishana mawazo ya hapa na pale kuhusu elimu inayotolewa chuoni siku hizi.

Moja ya sababu aliyonieleza inayopelekea kushuka kiwango cha elimu yetu ni wahadhili vilaza ambao huzalisha wasomi vilaza. Kwa kusisitiza hili jambo, ilinilazimu kufanya maarifa ya ziada ili kujiridhisha na maelezo yake. Ndipo nilipobahatika kupata paper iliyowahi kutungwa kwa ajili ya wanafunzi wa mwaka wa pili katika Idara ya Sayansi ya Chakula na Tekinolojia kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 442959

View attachment 442960

Nilipoona paper hiyo nilishikwa na butwaa. Nilidhani huenda ilitungwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha Kwanza na sio wa mwaka wa pili. Kwa mitihani ya kipuuzi kama hii tutarajie kuzalisha wasomi wa aina gani? Nilichogundua ni kuwa wahadhiri wengi wana uwezo mdogo sana. Ndio maana wanatunga mitihani hafifu kwa sababu hawana uwezo wa kutunga mitihani “akili kubwa”.

TUJADILIANE
Ni nani alaumiwa hasa kwa uuaji huu wa elimu ya taifa? Je ni serikali, wahadhiri, wanafunzi, sayansi na teknolojia, wazazi au jamii nzima ya watanzania?

Serikali ilaumiwe?
Kwa mujibu wa utafiti (usio rasmi) uliofanyika hivi karibuni, serikali ina mkono wake katika kudorora kwa elimu ya nchi hii kwa kuingiza siasa kwenye elimu, kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Kivipi? Ili kujijenga kisiasa serikali iliamua kwa makusudi kabisa kurahisisha elimu yetu kwa maana ya kupunguza viwango vya ufaulu (au kutanua goli) ili wanafunzi wengi zaidi wapate nafasi za kuingia sekondari. Mitihani ilirahisishwa mno kwa lengo la kuwafanya wanafunzi wafaulu kwa wingi ili kujaza shule za kata (sema makaburi ya kuzikia elimu) zilizoanzishwa kisiasa na serikali.

Lengo hasa lilikuwa ni kujaza shule za sekondari zilizokuwa zimefunguliwa kwenye kata, hata kama hazina walimu. Ndipo wakaibuka wanafunzi wanaofaulu kwenda sekondari ilhali hawajui kusoma na kuandika. Msumari wa kwanza wa sanduku la kuzikia elimu yetu uligongewa hapa.

Wanafunzi vilaza wakafaulu kwenda sekondari na huko sekondari pia mitihani ikarahisishwa ili wanafunzi wengi zaidi wafaulu kwenda vyuo vikuu. Matokeo yake, wanafunzi vilaza wakaingia vyuo vikuu.

Sababu nyingine inayopelekea serikali kulaumiwa katika hii kadhia ni uzembe wake wa kuwahudumia wanafunzi kwa maana ya kuwapa mahitaji yao ya msingi (boom) kwa wakati hivyo kupelekea wanafunzi hao kuishi katika mazingira ya njaa na kukata tamaa.

Na kwa sababu hiyo, wahadhiri wao huwaonea huruma na kuwatungia mitihani rahisi kwa kuwa hawasomi vizuri kwa sababu ya njaa kali waliyo nayo.

Baadhi ya wahadhiri wanalinda ajira zao au nao ni vilaza?
Ili kulinda ajira zao, wahadhiri nao wakaamua kutunga mitihani rahisi ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanaoshindwa (discontinue) kuendelea na masomo. Jambo hili tunaweza kulitazama kwa kutumia dhana mbili: Mosi, wahadhiri huamua kutunga mitihani rahisi kwa sababu ya kulinda ajira zao.

Kwamba kama wakiamua kutunga mitihani migumu, na kwa kuwa wanafunzi ni vilaza, wanaweza kufeli darasa zima hivyo mhadhiri kukosa kazi ya kufanya. Kwa hiyo, ili kuhalalisha uwepo wake, inambidi mhadhiri atunge mitihani rahisi kuwawezesha wanafunzi wengi kufaulu.

Dhana ya pili ni kwamba wahadhiri wengi inawezekana kabisa wakawa vilaza, hasa ukizingatia namna wanavyopatikana, hivyo hutunga mitihani rahisi kulingana na uwezo wao mdogo.

Sayansi na teknolojia imechangia?
Kufuatia kukua kwa sayansi na teknolojia asilimia kubwa ya wanafunzi wanamiliki na kutumia vifaa vya intanet (kompiuta, simu, laptops, ipads, nk), hivyo hutumia muda mwingi kuchat na kutafuta wapenzi kwenye mitandao badala ya kujikita kwenye masomo.

NINI KIFANYIKE?
Serikali ichukue maamuzi magumu ya kufufua elimu kuanzia ngazi ya chekechea hadi chuo kikuu. Utaratibu wa kupata wahadhiri uangaliwe upya. Aidha, serikali ikaze uzi kwenye mitihani ya shule za msingi, sekondari na vyuo vya kati ili kuwachuja vizuri wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu.

Tusiangalie zaidi takwimu za kisiasa. Ule utunzi wa mitihani migumu kama ilivyokuwa zamani urejewe. Hata ikibidi wanafunzi 100 ndio wafaulu kwenda chuo kikuu na iwe hivyo. Kusiwepo na uchakachuaji wa matokeo ili kuongeza kiwango cha ufaulu kisiasa.

MJADALA UMEFUNGULIWA….
Tujadiliane kwa ufasaha kuhusu hili tatizo la ukilaza vyuoni mpaka tupate jibu. Shambulieni hoja badala ya kumshambulia mtoa mada. Hata kama kuna mtu ataona hii hoja inamgusa moja kwa moja, awe mvumilivu…asitukane au kuchangia kwa jazba.

Sote tunajenga nyumba moja, tusigombee fito kamwe. Mods naomba mnilinde maana nina hakika kuna watu wanaoniona mbaya kwa kuwa wanadhani kitumbua chao nimekitia mchanga. Aidha kuna wanaopenda mteremko ambao hawependi kuona wanakaziwa kwa namna yoyote ile.


Nawasilisha.
Tangu serikali ya CCM ilipoanza kuingiza siasa kwenye elimu, ubora umekuwa ukishuka kila siku na ukishuka serikali nayo huingiza mkono wake kwa kuamuru mitihani irahisishwe na isahihishwe kwa juu juu.....hata kama mwanafunzi ameandika jibu la kipuuzi, apewe tiki na makisi kedekede!!! 😳 😳 😳 😳
 
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) tukabahatika kubadilishana mawazo ya hapa na pale kuhusu elimu inayotolewa chuoni siku hizi.

Moja ya sababu aliyonieleza inayopelekea kushuka kiwango cha elimu yetu ni wahadhili vilaza ambao huzalisha wasomi vilaza. Kwa kusisitiza hili jambo, ilinilazimu kufanya maarifa ya ziada ili kujiridhisha na maelezo yake. Ndipo nilipobahatika kupata paper iliyowahi kutungwa kwa ajili ya wanafunzi wa mwaka wa pili katika Idara ya Sayansi ya Chakula na Tekinolojia kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 442959

View attachment 442960

Nilipoona paper hiyo nilishikwa na butwaa. Nilidhani huenda ilitungwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha Kwanza na sio wa mwaka wa pili. Kwa mitihani ya kipuuzi kama hii tutarajie kuzalisha wasomi wa aina gani? Nilichogundua ni kuwa wahadhiri wengi wana uwezo mdogo sana. Ndio maana wanatunga mitihani hafifu kwa sababu hawana uwezo wa kutunga mitihani “akili kubwa”.

TUJADILIANE
Ni nani alaumiwa hasa kwa uuaji huu wa elimu ya taifa? Je ni serikali, wahadhiri, wanafunzi, sayansi na teknolojia, wazazi au jamii nzima ya watanzania?

Serikali ilaumiwe?
Kwa mujibu wa utafiti (usio rasmi) uliofanyika hivi karibuni, serikali ina mkono wake katika kudorora kwa elimu ya nchi hii kwa kuingiza siasa kwenye elimu, kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Kivipi? Ili kujijenga kisiasa serikali iliamua kwa makusudi kabisa kurahisisha elimu yetu kwa maana ya kupunguza viwango vya ufaulu (au kutanua goli) ili wanafunzi wengi zaidi wapate nafasi za kuingia sekondari. Mitihani ilirahisishwa mno kwa lengo la kuwafanya wanafunzi wafaulu kwa wingi ili kujaza shule za kata (sema makaburi ya kuzikia elimu) zilizoanzishwa kisiasa na serikali.

Lengo hasa lilikuwa ni kujaza shule za sekondari zilizokuwa zimefunguliwa kwenye kata, hata kama hazina walimu. Ndipo wakaibuka wanafunzi wanaofaulu kwenda sekondari ilhali hawajui kusoma na kuandika. Msumari wa kwanza wa sanduku la kuzikia elimu yetu uligongewa hapa.

Wanafunzi vilaza wakafaulu kwenda sekondari na huko sekondari pia mitihani ikarahisishwa ili wanafunzi wengi zaidi wafaulu kwenda vyuo vikuu. Matokeo yake, wanafunzi vilaza wakaingia vyuo vikuu.

Sababu nyingine inayopelekea serikali kulaumiwa katika hii kadhia ni uzembe wake wa kuwahudumia wanafunzi kwa maana ya kuwapa mahitaji yao ya msingi (boom) kwa wakati hivyo kupelekea wanafunzi hao kuishi katika mazingira ya njaa na kukata tamaa.

Na kwa sababu hiyo, wahadhiri wao huwaonea huruma na kuwatungia mitihani rahisi kwa kuwa hawasomi vizuri kwa sababu ya njaa kali waliyo nayo.

Baadhi ya wahadhiri wanalinda ajira zao au nao ni vilaza?
Ili kulinda ajira zao, wahadhiri nao wakaamua kutunga mitihani rahisi ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanaoshindwa (discontinue) kuendelea na masomo. Jambo hili tunaweza kulitazama kwa kutumia dhana mbili: Mosi, wahadhiri huamua kutunga mitihani rahisi kwa sababu ya kulinda ajira zao.

Kwamba kama wakiamua kutunga mitihani migumu, na kwa kuwa wanafunzi ni vilaza, wanaweza kufeli darasa zima hivyo mhadhiri kukosa kazi ya kufanya. Kwa hiyo, ili kuhalalisha uwepo wake, inambidi mhadhiri atunge mitihani rahisi kuwawezesha wanafunzi wengi kufaulu.

Dhana ya pili ni kwamba wahadhiri wengi inawezekana kabisa wakawa vilaza, hasa ukizingatia namna wanavyopatikana, hivyo hutunga mitihani rahisi kulingana na uwezo wao mdogo.

Sayansi na teknolojia imechangia?
Kufuatia kukua kwa sayansi na teknolojia asilimia kubwa ya wanafunzi wanamiliki na kutumia vifaa vya intanet (kompiuta, simu, laptops, ipads, nk), hivyo hutumia muda mwingi kuchat na kutafuta wapenzi kwenye mitandao badala ya kujikita kwenye masomo.

NINI KIFANYIKE?
Serikali ichukue maamuzi magumu ya kufufua elimu kuanzia ngazi ya chekechea hadi chuo kikuu. Utaratibu wa kupata wahadhiri uangaliwe upya. Aidha, serikali ikaze uzi kwenye mitihani ya shule za msingi, sekondari na vyuo vya kati ili kuwachuja vizuri wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu.

Tusiangalie zaidi takwimu za kisiasa. Ule utunzi wa mitihani migumu kama ilivyokuwa zamani urejewe. Hata ikibidi wanafunzi 100 ndio wafaulu kwenda chuo kikuu na iwe hivyo. Kusiwepo na uchakachuaji wa matokeo ili kuongeza kiwango cha ufaulu kisiasa.

MJADALA UMEFUNGULIWA….
Tujadiliane kwa ufasaha kuhusu hili tatizo la ukilaza vyuoni mpaka tupate jibu. Shambulieni hoja badala ya kumshambulia mtoa mada. Hata kama kuna mtu ataona hii hoja inamgusa moja kwa moja, awe mvumilivu…asitukane au kuchangia kwa jazba.

Sote tunajenga nyumba moja, tusigombee fito kamwe. Mods naomba mnilinde maana nina hakika kuna watu wanaoniona mbaya kwa kuwa wanadhani kitumbua chao nimekitia mchanga. Aidha kuna wanaopenda mteremko ambao hawependi kuona wanakaziwa kwa namna yoyote ile.


Nawasilisha.
Elimu ya nchi hii inazidi kudidimia kila kukicha.
 
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) tukabahatika kubadilishana mawazo ya hapa na pale kuhusu elimu inayotolewa chuoni siku hizi.

Moja ya sababu aliyonieleza inayopelekea kushuka kiwango cha elimu yetu ni wahadhili vilaza ambao huzalisha wasomi vilaza. Kwa kusisitiza hili jambo, ilinilazimu kufanya maarifa ya ziada ili kujiridhisha na maelezo yake. Ndipo nilipobahatika kupata paper iliyowahi kutungwa kwa ajili ya wanafunzi wa mwaka wa pili katika Idara ya Sayansi ya Chakula na Tekinolojia kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 442959

View attachment 442960

Nilipoona paper hiyo nilishikwa na butwaa. Nilidhani huenda ilitungwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha Kwanza na sio wa mwaka wa pili. Kwa mitihani ya kipuuzi kama hii tutarajie kuzalisha wasomi wa aina gani? Nilichogundua ni kuwa wahadhiri wengi wana uwezo mdogo sana. Ndio maana wanatunga mitihani hafifu kwa sababu hawana uwezo wa kutunga mitihani “akili kubwa”.

TUJADILIANE
Ni nani alaumiwa hasa kwa uuaji huu wa elimu ya taifa? Je ni serikali, wahadhiri, wanafunzi, sayansi na teknolojia, wazazi au jamii nzima ya watanzania?

Serikali ilaumiwe?
Kwa mujibu wa utafiti (usio rasmi) uliofanyika hivi karibuni, serikali ina mkono wake katika kudorora kwa elimu ya nchi hii kwa kuingiza siasa kwenye elimu, kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Kivipi? Ili kujijenga kisiasa serikali iliamua kwa makusudi kabisa kurahisisha elimu yetu kwa maana ya kupunguza viwango vya ufaulu (au kutanua goli) ili wanafunzi wengi zaidi wapate nafasi za kuingia sekondari. Mitihani ilirahisishwa mno kwa lengo la kuwafanya wanafunzi wafaulu kwa wingi ili kujaza shule za kata (sema makaburi ya kuzikia elimu) zilizoanzishwa kisiasa na serikali.

Lengo hasa lilikuwa ni kujaza shule za sekondari zilizokuwa zimefunguliwa kwenye kata, hata kama hazina walimu. Ndipo wakaibuka wanafunzi wanaofaulu kwenda sekondari ilhali hawajui kusoma na kuandika. Msumari wa kwanza wa sanduku la kuzikia elimu yetu uligongewa hapa.

Wanafunzi vilaza wakafaulu kwenda sekondari na huko sekondari pia mitihani ikarahisishwa ili wanafunzi wengi zaidi wafaulu kwenda vyuo vikuu. Matokeo yake, wanafunzi vilaza wakaingia vyuo vikuu.

Sababu nyingine inayopelekea serikali kulaumiwa katika hii kadhia ni uzembe wake wa kuwahudumia wanafunzi kwa maana ya kuwapa mahitaji yao ya msingi (boom) kwa wakati hivyo kupelekea wanafunzi hao kuishi katika mazingira ya njaa na kukata tamaa.

Na kwa sababu hiyo, wahadhiri wao huwaonea huruma na kuwatungia mitihani rahisi kwa kuwa hawasomi vizuri kwa sababu ya njaa kali waliyo nayo.

Baadhi ya wahadhiri wanalinda ajira zao au nao ni vilaza?
Ili kulinda ajira zao, wahadhiri nao wakaamua kutunga mitihani rahisi ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanaoshindwa (discontinue) kuendelea na masomo. Jambo hili tunaweza kulitazama kwa kutumia dhana mbili: Mosi, wahadhiri huamua kutunga mitihani rahisi kwa sababu ya kulinda ajira zao.

Kwamba kama wakiamua kutunga mitihani migumu, na kwa kuwa wanafunzi ni vilaza, wanaweza kufeli darasa zima hivyo mhadhiri kukosa kazi ya kufanya. Kwa hiyo, ili kuhalalisha uwepo wake, inambidi mhadhiri atunge mitihani rahisi kuwawezesha wanafunzi wengi kufaulu.

Dhana ya pili ni kwamba wahadhiri wengi inawezekana kabisa wakawa vilaza, hasa ukizingatia namna wanavyopatikana, hivyo hutunga mitihani rahisi kulingana na uwezo wao mdogo.

Sayansi na teknolojia imechangia?
Kufuatia kukua kwa sayansi na teknolojia asilimia kubwa ya wanafunzi wanamiliki na kutumia vifaa vya intanet (kompiuta, simu, laptops, ipads, nk), hivyo hutumia muda mwingi kuchat na kutafuta wapenzi kwenye mitandao badala ya kujikita kwenye masomo.

NINI KIFANYIKE?
Serikali ichukue maamuzi magumu ya kufufua elimu kuanzia ngazi ya chekechea hadi chuo kikuu. Utaratibu wa kupata wahadhiri uangaliwe upya. Aidha, serikali ikaze uzi kwenye mitihani ya shule za msingi, sekondari na vyuo vya kati ili kuwachuja vizuri wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu.

Tusiangalie zaidi takwimu za kisiasa. Ule utunzi wa mitihani migumu kama ilivyokuwa zamani urejewe. Hata ikibidi wanafunzi 100 ndio wafaulu kwenda chuo kikuu na iwe hivyo. Kusiwepo na uchakachuaji wa matokeo ili kuongeza kiwango cha ufaulu kisiasa.

MJADALA UMEFUNGULIWA….
Tujadiliane kwa ufasaha kuhusu hili tatizo la ukilaza vyuoni mpaka tupate jibu. Shambulieni hoja badala ya kumshambulia mtoa mada. Hata kama kuna mtu ataona hii hoja inamgusa moja kwa moja, awe mvumilivu…asitukane au kuchangia kwa jazba.

Sote tunajenga nyumba moja, tusigombee fito kamwe. Mods naomba mnilinde maana nina hakika kuna watu wanaoniona mbaya kwa kuwa wanadhani kitumbua chao nimekitia mchanga. Aidha kuna wanaopenda mteremko ambao hawependi kuona wanakaziwa kwa namna yoyote ile.


Nawasilisha.
 
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) tukabahatika kubadilishana mawazo ya hapa na pale kuhusu elimu inayotolewa chuoni siku hizi.

Moja ya sababu aliyonieleza inayopelekea kushuka kiwango cha elimu yetu ni wahadhili vilaza ambao huzalisha wasomi vilaza. Kwa kusisitiza hili jambo, ilinilazimu kufanya maarifa ya ziada ili kujiridhisha na maelezo yake. Ndipo nilipobahatika kupata paper iliyowahi kutungwa kwa ajili ya wanafunzi wa mwaka wa pili katika Idara ya Sayansi ya Chakula na Tekinolojia kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 442959

View attachment 442960

Nilipoona paper hiyo nilishikwa na butwaa. Nilidhani huenda ilitungwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kidato cha Kwanza na sio wa mwaka wa pili. Kwa mitihani ya kipuuzi kama hii tutarajie kuzalisha wasomi wa aina gani? Nilichogundua ni kuwa wahadhiri wengi wana uwezo mdogo sana. Ndio maana wanatunga mitihani hafifu kwa sababu hawana uwezo wa kutunga mitihani “akili kubwa”.

TUJADILIANE
Ni nani alaumiwa hasa kwa uuaji huu wa elimu ya taifa? Je ni serikali, wahadhiri, wanafunzi, sayansi na teknolojia, wazazi au jamii nzima ya watanzania?

Serikali ilaumiwe?
Kwa mujibu wa utafiti (usio rasmi) uliofanyika hivi karibuni, serikali ina mkono wake katika kudorora kwa elimu ya nchi hii kwa kuingiza siasa kwenye elimu, kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Kivipi? Ili kujijenga kisiasa serikali iliamua kwa makusudi kabisa kurahisisha elimu yetu kwa maana ya kupunguza viwango vya ufaulu (au kutanua goli) ili wanafunzi wengi zaidi wapate nafasi za kuingia sekondari. Mitihani ilirahisishwa mno kwa lengo la kuwafanya wanafunzi wafaulu kwa wingi ili kujaza shule za kata (sema makaburi ya kuzikia elimu) zilizoanzishwa kisiasa na serikali.

Lengo hasa lilikuwa ni kujaza shule za sekondari zilizokuwa zimefunguliwa kwenye kata, hata kama hazina walimu. Ndipo wakaibuka wanafunzi wanaofaulu kwenda sekondari ilhali hawajui kusoma na kuandika. Msumari wa kwanza wa sanduku la kuzikia elimu yetu uligongewa hapa.

Wanafunzi vilaza wakafaulu kwenda sekondari na huko sekondari pia mitihani ikarahisishwa ili wanafunzi wengi zaidi wafaulu kwenda vyuo vikuu. Matokeo yake, wanafunzi vilaza wakaingia vyuo vikuu.

Sababu nyingine inayopelekea serikali kulaumiwa katika hii kadhia ni uzembe wake wa kuwahudumia wanafunzi kwa maana ya kuwapa mahitaji yao ya msingi (boom) kwa wakati hivyo kupelekea wanafunzi hao kuishi katika mazingira ya njaa na kukata tamaa.

Na kwa sababu hiyo, wahadhiri wao huwaonea huruma na kuwatungia mitihani rahisi kwa kuwa hawasomi vizuri kwa sababu ya njaa kali waliyo nayo.

Baadhi ya wahadhiri wanalinda ajira zao au nao ni vilaza?
Ili kulinda ajira zao, wahadhiri nao wakaamua kutunga mitihani rahisi ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanaoshindwa (discontinue) kuendelea na masomo. Jambo hili tunaweza kulitazama kwa kutumia dhana mbili: Mosi, wahadhiri huamua kutunga mitihani rahisi kwa sababu ya kulinda ajira zao.

Kwamba kama wakiamua kutunga mitihani migumu, na kwa kuwa wanafunzi ni vilaza, wanaweza kufeli darasa zima hivyo mhadhiri kukosa kazi ya kufanya. Kwa hiyo, ili kuhalalisha uwepo wake, inambidi mhadhiri atunge mitihani rahisi kuwawezesha wanafunzi wengi kufaulu.

Dhana ya pili ni kwamba wahadhiri wengi inawezekana kabisa wakawa vilaza, hasa ukizingatia namna wanavyopatikana, hivyo hutunga mitihani rahisi kulingana na uwezo wao mdogo.

Sayansi na teknolojia imechangia?
Kufuatia kukua kwa sayansi na teknolojia asilimia kubwa ya wanafunzi wanamiliki na kutumia vifaa vya intanet (kompiuta, simu, laptops, ipads, nk), hivyo hutumia muda mwingi kuchat na kutafuta wapenzi kwenye mitandao badala ya kujikita kwenye masomo.

NINI KIFANYIKE?
Serikali ichukue maamuzi magumu ya kufufua elimu kuanzia ngazi ya chekechea hadi chuo kikuu. Utaratibu wa kupata wahadhiri uangaliwe upya. Aidha, serikali ikaze uzi kwenye mitihani ya shule za msingi, sekondari na vyuo vya kati ili kuwachuja vizuri wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu.

Tusiangalie zaidi takwimu za kisiasa. Ule utunzi wa mitihani migumu kama ilivyokuwa zamani urejewe. Hata ikibidi wanafunzi 100 ndio wafaulu kwenda chuo kikuu na iwe hivyo. Kusiwepo na uchakachuaji wa matokeo ili kuongeza kiwango cha ufaulu kisiasa.

MJADALA UMEFUNGULIWA….
Tujadiliane kwa ufasaha kuhusu hili tatizo la ukilaza vyuoni mpaka tupate jibu. Shambulieni hoja badala ya kumshambulia mtoa mada. Hata kama kuna mtu ataona hii hoja inamgusa moja kwa moja, awe mvumilivu…asitukane au kuchangia kwa jazba.

Sote tunajenga nyumba moja, tusigombee fito kamwe. Mods naomba mnilinde maana nina hakika kuna watu wanaoniona mbaya kwa kuwa wanadhani kitumbua chao nimekitia mchanga. Aidha kuna wanaopenda mteremko ambao hawependi kuona wanakaziwa kwa namna yoyote ile.


Nawasilisha.
Wanafunzi hawa wa shule za kata walioanguka mtihani wa NECTA ni zao la wahadhiri vilaza kama hawa wa SUA.
 
Back
Top Bottom