mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
ubaguzi tu.mbona hapa wapo kibao lakn hawasumbuliwi.angalia wamalawi walivyojazana.kikubwa wasivunje sheria za nchiNao wamezidi kung'ang'ania nchi ya watu.
Watarudishwa kwenye mifuko ya salfeti.
Miaka nenda rudi wao wanafanya ubaguzi na serikali yao inakenua meno yanini kung'ang'ania kuishi huko?ubaguzi tu.mbona hapa wapo kibao lakn hawasumbuliwi.angalia wamalawi walivyojazana.kikubwa wasivunje sheria za nchi
Wanahitaji kuelimika.Miaka nenda rudi wao wanafanya ubaguzi na serikali yao inakenua meno yanini kung'ang'ania kuishi huko?
Kwani kazi na maisha hayawezi kupatikana kwingine.?
Waache ung'ang'anizi wa kindezi watakufa midomo wazi.
Kwanini 80% wanafariki wasouth?Neno illegal ni 'Kichaka' tu South Africans wana jealous sana na wageni sababu wageni wakifika kule wanachakarika sana hasa Nigerians, Mzansi ni wavivu kupita maelezo. Hili vugu vugu halitaisha kamwe litaendelea milele na milele na hii imeanza hata marekani Black americans na wao ni wavivu sana wameanza kuwachukia wanigeria wanaopiga hela huko.
Jambo la kuchekesha zaidi vurugu dhidi ya wageni zikianza 80% ya wanaofariki ni wa south Africa wenyewe.
Unahitaji kuelimika wewe unayeingia nchi ya watu bila ya kibaliWanahitaji kuelimika.
'Mistaken identity' na kutofautiana ideologies.Kwanini 80% wanafariki wasouth?
Labda wanataka warudi wakalete matumaini huko kwao.Wanataka Nigerians waende wapi kwao hakuna matumaini
South african by default hawapend kutoka kwao ,wana passport ya free entry nchi nyingi sana duniani ila hawaendi.kwa kweli wasauzi hawawapendi kabisa waafrika wenzao na sijui hao wenzao walioko ughaibuni nao wafukuzwe?wazulu ni watu makatili sana wao ni wavivu lkn wachapakazi wanapoenda kwao wao inawauma.
JAMAA Wana fursa kibao Ila kichwani mavSouth african by default hawapend kutoka kwao ,wana passport ya free entry nchi nyingi sana duniani ila hawaendi.
.
Miaka ya 2000's passport yao ilikuwa rahisi kuipata kwa kigezo cha ndoa, ,wanaijeria waliitumia sana fursa ya kusafiri huko duniani, kuna wabongo pia waliiotea hiyo passport.JAMAA Wana fursa kibao Ila kichwani mav