Wahamiaji haramu wa kutokea China wajaribu kutumia Mexico kuingia Marekani

Kiwanja ni kimoja tu- USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ. Kila mtu duniani ndoto yake ni kufika kiwanja. The land of the free and the home of the brave.
 
China ni superpawa mshindani wa kiuchumi wa Marekani.
 
Omba Trump asishinde uchaguzi mwaka huu! Kilio chake kikubwa ni Wahamiaji haram!
 
Marekan iwe makini na hao wahamiaji , inaeza kuwa trick , kumpa mzigo USA ambao utamfanya azidi kuongeza crime rate na poverty rate kitu kitamshusha ki influence duniani , dunia ya leo kuna mataifa yana vichwa vina mipango ya miaka 50 mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ