macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Inaweza kugeuka helkopta ya maangamizi kama ile ya Fujikombe. Mungu hadhihakiwi!Siyo Rushwa
Hata Petro Mtume alitoa Boti yake itumiwe na Yesu kwa kazi ya Injili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kugeuka helkopta ya maangamizi kama ile ya Fujikombe. Mungu hadhihakiwi!Siyo Rushwa
Hata Petro Mtume alitoa Boti yake itumiwe na Yesu kwa kazi ya Injili
Utasubiri sanaApende saa 100 mwigulu makamba filip, na nape. Ili likipotea iwe Tanzania's big problems solved. Ewe uliye juu tusikie..
Waache wazidi kumkejeli tu Mungu. Kuna siku kilio chako kitasikika.Apende saa 100 mwigulu makamba filip, na nape. Ili likipotea iwe Tanzania's big problems solved. Ewe uliye juu tusikie..
Tuendelee kuwapa Wachina hizi kandarasi sisi bado ni wa mambo madogo madogo kama haya ya uchawa!!Heka heka na vimbwanga vinazidi kupamba moto, mpaka uchaguzi ufike tutaona mengi! Eti wanarudisha fadhila kwa yale Rais Samia amefanyia nchi! Kwa hali ngumu ya maisha na wizi unaoendelea serikalini kweli?
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ndio tumeamua sasa hivi kila mtu kuwa chawa ili naye aende kula kwa urefu wa kamba yake?
Vijana tuamke kuokoa taifa hili, kwa haya yanayoendelea na nchi itafutika kwa kila mtu kuchota kwa nafasi yake bila kujali maslahi ya nchi.
===
Umoja wa Wakandarasi na Wahandisi Tanzania umemnunulia Helkopta Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aitumie Helkopta hiyo wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwakani (2025) atakapokuwa anapeperusha bendera ya CCM kama mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akizungumza na wanahabari leo, Jumamosi Julai 20.2024 Msemaji wa umoja huo Mhandisi Yuda Thomas Kemincha amesema sambamba na kununua Helkopta hiyo lakini pia wametoa mafuta ya shilingi milioni 100 za Tanzania, huku akitumia nafasi hiyo kufafanua kuwa hatua hiyo inakuja kama sehemu ya kurudisha fadhila kwa Rais Dkt. Samia kuhusiana na yale aliyoyafanya nchini.
Acha kufananisha Mtume na upumbavu wa kuimba kura!Siyo Rushwa
Hata Petro Mtume alitoa Boti yake itumiwe na Yesu kwa kazi ya Injili
Hiyo sio Rushwa kweli?🤔
YUDA!!!!
Heka heka na vimbwanga vinazidi kupamba moto, mpaka uchaguzi ufike tutaona mengi! Eti wanarudisha fadhila kwa yale Rais Samia amefanyia nchi! Kwa hali ngumu ya maisha na wizi unaoendelea serikalini kweli?
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ndio tumeamua sasa hivi kila mtu kuwa chawa ili naye aende kula kwa urefu wa kamba yake?
Vijana tuamke kuokoa taifa hili, kwa haya yanayoendelea na nchi itafutika kwa kila mtu kuchota kwa nafasi yake bila kujali maslahi ya nchi.
===
Umoja wa Wakandarasi na Wahandisi Tanzania umemnunulia Helkopta Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aitumie Helkopta hiyo wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwakani (2025) atakapokuwa anapeperusha bendera ya CCM kama mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akizungumza na wanahabari leo, Jumamosi Julai 20.2024 Msemaji wa umoja huo Mhandisi Yuda Thomas Kemincha amesema sambamba na kununua Helkopta hiyo lakini pia wametoa mafuta ya shilingi milioni 100 za Tanzania, huku akitumia nafasi hiyo kufafanua kuwa hatua hiyo inakuja kama sehemu ya kurudisha fadhila kwa Rais Dkt. Samia kuhusiana na yale aliyoyafanya nchini.
Najiuliza kwanini Samia anaanza kampeni mapema namna hii? ana lengo gani na hii nchi?
Hivi wakati huu ambapo mambo yanajiendea hovyo kila kona, juzi tu amesema anataka kuanza kuchimba madini yaliyogundulika kwenye mbuga ya Serengeti eti kwasababu wanyama hawali madini!
Hii ndio akili inayolazimisha kuendelea kuliongoza hili taifa kwa miaka mitano zaidi? Naamini kuna wajanja wanaofaidi kwa kutumia udhaifu wa hiyo akili na hao ndio wapiga filimbi wakubwa.
Wanajua kabisa huyu kilaza akiondoka madarakani nao channel zao zitafungwa, wanachokifanya sasa ni kuyashawishi makundi mbalimbali kupiga kelele ili kumuaminisha kilaza anakubalika, kumbe mipango yao iko mbali kabisa kututafuna.
Gen Z ya Taifa hili iko wapi ituokoe, viongozi wanafanya mambo ya kijinga kabisa ninyi mmelala tu!