Pre GE2025 Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuendelee kuwapa Wachina hizi kandarasi sisi bado ni wa mambo madogo madogo kama haya ya uchawa!!
 
Watu wa twitter wanasema mbona kama mheshikiwa engineer ni chawa mwandamizi hivi eti kwenye umoja wa wahandisi hayupo
 

Attachments

  • Screenshot_20240721-110236.png
    1.2 MB · Views: 1
1. Kuna uwezekano wanahitaji aendelee kuwepo maana kuna manufaa wananufaika nayo.

2. Hiyo chopa hiyo hiyo chopa hiyo, isije ikawa ni mouse trap, ikapindua meza na kuandika historia nyingine mbaya.

3. Propaganda
 
Wahandisi wenyewe sasa....
 

Attachments

  • IMG_20240722_170024.jpg
    29.6 KB · Views: 1
Hiyo sio Rushwa kweli?🤔

..hata KIUSALAMA haiko sawasawa.

..Samia kwasababu ni Rais anapaswa kusafiri kwa kutumia vyombo vya umma wakati wote.

..Wakandarasi wasubiri 2030 ambako mgombea wa Ccm atakuwa bado hajawa Rais, na wakati huo watatakiwa waichangie Ccm kununua helikopta.
 
Kwa kweli huu ni ujinga wa hali ya juu. Sikujua kwamba tuna wahandisi wajinga namna hii. Halafu unaweza kuta kuna mtu hata siyekuwa raia halisi ndiye ametoa hili wazo, nia yake ni nani anaijua vizuri? Usalama wa Taifa sitegemei wakubali jambo la kijinga kama hili. Tena jambo hili linadhalilisha Ikulu yetu kwa ujumla. Waelekezwe wakakarabati Mahospitali na shule nyingi hazina hata vyoo, watoto wanajisaidia vichakani au vyoo vya shimo halafu mhandisi unakuja hapa kutuambia unamnunulia Raisi Helicopter?? Ningewaona wana akili timamu kama wangeweka lengo la kuunda hiyo Helicopter wao wenyewe, tujue wanataka kujitanabahisha kuwa ni wasomi wabobevu. Shame on you all!
 

Kuna vituko vingi sana....
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…