Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,161
Ha ha WRNaona Prof MTALO akipata kazi.
WR410
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha WRNaona Prof MTALO akipata kazi.
WR410
Ha ha ha bro nina kaka alikuwa ethiopia kwenye gibe 3. Aliakuwa anahusika na maswala ya brasting. Jamaa amegraduate first batch ya mining engineer mlimani. Sasa hivi yuko zake quatar anapiga pesa.Mimi ni mzalendo sana ila nawajua hawa. Hamna kitu. Tutapoteza pesa tukiwaamini hawa. Hebu nipe mfano wa bwawa walilojenga hao wahandisi wa kitanzania? Hatuwezi kufanya majaribio kwa pesa za umma. Wasubiri tuwe matajiri ndipo tuwape hizo fursa za kujaribu na kukosea.
Daaah Unanichekesha sana,but charity begins at home mi nadhani kuwa huu ni wakati mwafaka wa kuanza kuwaamini watalamu wetu na kufaidi matunda ya elimu zaoMimi ni mzalendo sana ila nawajua hawa. Hamna kitu. Tutapoteza pesa tukiwaamini hawa. Hebu nipe mfano wa bwawa walilojenga hao wahandisi wa kitanzania? Hatuwezi kufanya majaribio kwa pesa za umma. Wasubiri tuwe matajiri ndipo tuwape hizo fursa za kujaribu na kukosea.