Wahandisi wa Kitanzania ujenzi wa bwawa la Stiegler's Gorge!

Ha ha ha bro nina kaka alikuwa ethiopia kwenye gibe 3. Aliakuwa anahusika na maswala ya brasting. Jamaa amegraduate first batch ya mining engineer mlimani. Sasa hivi yuko zake quatar anapiga pesa.


Tunasomesha watu wanatumikia mataifa ya watu na sio tanzania kwa ajili ya binadam kama wewe
 
Daaah Unanichekesha sana,but charity begins at home mi nadhani kuwa huu ni wakati mwafaka wa kuanza kuwaamini watalamu wetu na kufaidi matunda ya elimu zao
 
Hakika hili ni jambo la heri. Miradi kama hii itasaidia sana kukuza uchumi wa nchi.
 
Watanzania mmepewa fursa ya kuonyesha uwezo wenu, nendeni sasa mkadhihirishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…