Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

Hakuna professional ya u driver hiyo hiyo hata hausegirl wanaweza ? Kama unprofessional umefanya wapi desertation?
Umedifend kwa mda gan na vyuo vingap?
Nan alikuwa supervisor wako?
Ni wap ulipoandika journal yeyote?
niambie hata school Dean wako alikuwa nan
Kua
 
Haiangalii mwaka ni bahati pia kupata hiyo ajira
Kama hali ni hii hakuna haja ya tume ya utumishi ya kudumu. Wawe na kamati wanaitisha ajira na mtu achaguliwe kwa vigezo na kamati kuvunjwa kama ilivyo kwa baraza la mitihani. Maana wao wana data za miaka ya nyuma na hawazitumii. Naelewa kuna uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi hivyo sitashangaa kuajiriwa waalimu wa sayansi wa 2021 lakini sio wa masomo yasiyo ya sayansi.
 
Ila walimu mnaroho mbaya sana.
Mmejaa majungu sababu ya mishahara au kazi nyingi?

Hii tabua walimu muiache mara moja..mnapenda kudekadeka sana ndio maana wanasiasa wanawafanya madaraja...

nilisoma ualimu nikaacha! Nipo nalima viazi huku Chankede..karibuni sana
 
[emoji16] wewe kweli mwalimu mbona napatwa mashaka? Hebu pita hapo N. I. T uniambie umekuta ma housgirl wangapi? Kama driving anafanya yoyote wewe na housgirl wenu mnasubiri nini sasa kutuma maombi ajira portal? Mpaka unakuja kulia lia huku eti umemaliza zama za kati za mawe [emoji16] uhurumiwe [emoji16]
]
 
KWELI HII KADA WANALIA LIA SANA!!!!

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wale wote ambao hawana connection na pesa ya kuhonga kaeni pembeni..hizi ajira watapata watu wenye vigezo viwili tu ...connection na pesa ya kuhonga...SISI HATUNA NGUVU..SISI HATUNA KITU..SISI NI DHAIFU...SISI NI WANYONGE πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu una clip ya huyo jamaa wa SISI HATUNA KITU,. SISI NI DHAIFU....πŸ˜‚πŸ˜‚. kama ipo naomba nitumie mkuu
 
SIYO WALIOMALIZA ZAMANI, KAMA MUANZISHA HUU UZI?
 
Nyie mnaowatukana walimu mnalima viazi ni uongo
 
Mwalimu wa middle Stone age[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kada ya elimu iwe kama kada zingine....

Watu washindanishwe bila kujali kamaliza lini!!!!!!


Tunahitaji cream kuinua elimu ya taifa hili siyo ilimradi mtu kasoma na kuhitimu ualimu....

Najua ni ngumu kumeza lakini TUIMEZE TU.... mbona kada zingine mambo yako hivyo...
 
Hakika mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…