Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

Nyie mnaowatukana walimu mnalima viazi ni uongo
Mkuu kweli..nimefanya kazi na walimu
Kuna kipindi tulikuwa tunamark Mock ya mwanza..

daaah. Hii kada unapojisimamia unafanyiwa fitina tena na walimu wenzio.

nilipiga chini..nipo nalima huku mapolini mkuu.. nipo juu ya mawe nachat kupata mtandao
 
Kuna mwaka nadhani 2016 walisema wameajiri walimu wa hesabu na sayansi tu lakini cha ajabu nikakutana na dada mmoja mwalimu wa Kiswahili tena kapangiwa DSM. Hahahaa
 
Kuna mwaka nadhani 2016 walisema wameajiri walimu wa hesabu na sayansi tu lakini cha ajabu nikakutana na dada mmoja mwalimu wa Kiswahili tena kapangiwa DSM. Hahahaa
 
Yaani Mimi nilikosa ajira kwa kuwa nimehitimu 2015. Walichukua intake ya 2018,2019 na 2020. Wanaotoa nafasi za ajira ila kigezo ni uwe umehitimu 3 years ago. Huu ni uonevu na ni unfair distribution of wealth. Kwa nini hao nao wasisote kama Sisi? Hatukupenda kutoajiriwa baada ya graduation, mfumo haukutuoa Ajira as a result wanatuengua eti tumemaliza siku nyingi Umri ni Mkubwa wa Ajira. Wenye Ajira wabanwe kwa huu ubaguzi.
 
Kada gani chifu

]
 
Hivi tecno ndio inakua inasauti ya juu hivi.
 
kazi ya serikali sio kuajiri. Serikali uajiri pale inapokua na uhitaji wa rasilimali watu.
 
Mkuu kumaliza zamani kwa sehemu kubwa kunahusishwa na uzoefu/experience. Huwezi sema ww dereva wa mwaka 2011 uwezo wako uwe sawa na dereva aliyemaliza masomo yake mwezi march.2022. ikiwa wakati wote ulikuwa ukiifanyia kazi taaluma yako.

Ajira za ualimu na afya zilikuwa ni ajira za moja kwa moja kutokana na idadi kubwa ya mahitaji huduma zao kwa taifa. Huu mfumo tokea uwe disturbed miaka ya hivi karibuni serikali haijawahi kutoa tamko la moja kwa moja kuwa serikali haitakuwa na ajira za moja kwa moja kwa hao waalimu na watumishi wa afya wataajiriwa interview kwa kufuata vigezo vya uzoefu,gpa,n.k kama ilivyo kwa kada nyingine.

Kitendo cha serikali kutokutoa kauli yoyote juu ya kusitisha ajira za moja kwa moja serikalini na kitendo cha watumishi wa elimu na afya kupangiwa hata kwenye vituo vya kazi tofauti na vile ambavyo waliviomba kuna ashiria kuwa zile ajira za moja kwa moja bado zipo na lile tangazo la kuwataka waombe ajira kwa barua ni kutafuta uthibitisho tu ili kujua ni Nani yupo teyari kuitumikia serikali lakin kujua idadi ya wahitaji ajira.

Ajira za ualimu na afya zinasemamiwa na WIZARA moja kwa moja tofauti na ajira nyingi za kule ajira portal ambazo unakuta zinasimamiwa na taasisi husika mfano ajira za mashirika,halmashauri,n.k
 
Nimekuelewa chifu, ila uzoefu unakuja kwa ku practice ulichosomea.
]
 
Alafu kuna madogo wamekuja field last month nao wanasomea ualimu first year 2022

Cha ajabu sasa eti ni baed history kiswahili

Yaan nawangalia naona hawa watoto ni vichaa nn
 
Mkuu kweli..nimefanya kazi na walimu
Kuna kipindi tulikuwa tunamark Mock ya mwanza..

daaah. Hii kada unapojisimamia unafanyiwa fitina tena na walimu wenzio.

nilipiga chini..nipo nalima huku mapolini mkuu.. nipo juu ya mawe nachat kupata mtandao
Walimu wengi ni majungu
 
Lima viazi mkuu
 
Alafu kuna madogo wamekuja field last month nao wanasomea ualimu first year 2022

Cha ajabu sasa eti ni baed history kiswahili

Yaan nawangalia naona hawa watoto ni vichaa nn
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wataajiliwa 2033
 
Walimu wengi viwango vyao vya ku reason viko chini mno..yani ukiwa na hela usije jaribu kusomesha mwanao shule za kata..utatengeneza felia..mana walimu wao ni felia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaaaah wawe wanaacha fair competition haijalishi mtu kamaliza lini.
Secretariat angalau wako fair kwenye hii. Husema usizidi Umri wa miaka 45. Lakini Mashirika ndio uwe umemaliza 3 years back.
 
We jamaa mbona mshamba sana..no wonder huna ajira hiyo ya ualimu mpaka sasa.

Unaona kelimika ni kupublish..hujui hata phd watu wananunua.

Tafuta hela acha kulialia kama demu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…