Njiwa mpole 1997
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 235
- 288
Hapa kweli maendeleo hayana chama.Ukiona mwanafunzi wa kata kafaulu..tambua nguvu kubwa katumia mwanafunzi na mzazi..hasa tushweni kununu vitabu na matilio mbalimbali..lakini sio nguvu ya mwalimu.
Je unajua ni wangapi ambao wanafeli 4m4 kwa kupata 4 na 0.
Pia tambua serikali yenye imejaa siasa hadi kwenye elimu..
Ni mwendo wa kutanua magoli ili wafungaji wabovu wafunge hata kwa kubutua pembeni.
Walimu wengi ni zao la failed educational system..unategemea watatoa product gani?
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Mm naona kidog hiyo ni nzur coz itasaidia waliopata below 3 bax anakua hana tumain la ajila hivyo atapambana na maisha mengineBila shaka una 3+
Kamati ya roho mbaya.kwani lengo ni watu kupata ajira au wakate tamaa kuwa hawana sifa.Rais wako mwenyewe ameshauri waajiri wasiangalie vyeti tu bali mtu ana nini cha ziada.uliwahi kujua kuwa kikwete alikuwa na gpa ya 2.5na alikuwa Rais wako.Mm naona kidog hiyo ni nzur coz itasaidia waliopata below 3 bax anakua hana tumain la ajila hivyo atapambana na maisha mengine
Sasa kujua. Ana nn Cha ziada atajulikanaje maana Ualimu hakuna Usaili kule..Kamati ya roho mbaya.kwani lengo ni watu kupata ajira au wakate tamaa kuwa hawana sifa.Rais wako mwenyewe ameshauri waajiri wasiangalie vyeti tu bali mtu ana nini cha ziada.uliwahi kujua kuwa kikwete alikuwa na gpa ya 2.5na alikuwa Rais wako.
Umempiga na kitu kizito kichwaniSasa kujua. Ana nn Cha ziada atajulikanaje maana Ualimu hakuna Usaili kule..
Nimekuelewa hapa.!Walimu wengi viwango vyao vya ku reason viko chini mno..yani ukiwa na hela usije jaribu kusomesha mwanao shule za kata..utatengeneza felia..mana walimu wao ni felia.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umepuyanga.!We jamaa mbona mshamba sana..no wonder huna ajira hiyo ya ualimu mpaka sasa.
Unaona kelimika ni kupublish..hujui hata phd watu wananunua.
Tafuta hela acha kulialia kama demu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nimekuelewa. Safi kwa analysis yako.Ukiona mwanafunzi wa kata kafaulu..tambua nguvu kubwa katumia mwanafunzi na mzazi..hasa tushweni kununu vitabu na matilio mbalimbali..lakini sio nguvu ya mwalimu.
Je unajua ni wangapi ambao wanafeli 4m4 kwa kupata 4 na 0.
Pia tambua serikali yenye imejaa siasa hadi kwenye elimu..
Ni mwendo wa kutanua magoli ili wafungaji wabovu wafunge hata kwa kubutua pembeni.
Walimu wengi ni zao la failed educational system..unategemea watatoa product gani?
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Kivipi? Naona watu wanatoa mpaka machozi kwa kuzikosa hizi ajira.Jiite mwenye bahati kama hujapata ajira ya ualimu. Hiyo ni kazi itakayokusajili ktk umaskini wa kudumu wa kipato na fikra
Kwani system imesharuhusu kutuma au ni porojo za wanasiasa tu?Wee tuna maombi tyuu, matokeo mbele kwa mbele. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nchi ngumu sana hiiKutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha