Wahanga wa bima za kampuni za ajali za magari tuonane😠

Wahanga wa bima za kampuni za ajali za magari tuonane😠

Hero

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
3,932
Reaction score
2,839
Jamani, kumetokea utitiri wa kampuni za bima za magari nyingi sana nchini kiasi kwamba na makanjanja wamepetia humo humo.

Makampuni haya ni mepesi sana kupokea hela kutoka kwetu wateja...lakini mteja lilikukuta la kukukuta la ajali ya gari wanaingia mitini kwa speed ya 5G. Wakitoa vijisingizio visivyo kichwa wala mkia.

Naomba mjimwage kwa kutoa mapovu yote mpaka wajirekebishe huku mkitoa mifano ya makampuni husika!
 
Anza wewe acha kuharibu kazi za watu
Wanajiharibia wenyewe bana kwa utapeli!
Kampuni yoyote ya bima ambayo top management ni wachaga inabidi kama unataka uingie nayo mkataba basi ingia nao kwa tahadhari sana i see! Hawapo kwa ajili ya kuja kukuhudumia likikukuta, ngoja nianze kuyataja hayo makampuni sasa....!
 
Wanajiharibia wenyewe bana kwa utapeli!
Kampuni yoyote ya bima ambayo top management ni wachaga inabidi kama unataka uingie nayo mkataba basi ingia nao kwa tahadhari sana i see! Hawapo kwa ajili ya kuja kukuhudumia likikukuta, ngoja nianze kuyataja hayo makampuni sasa....!
Tafuta Co. inayomilikiwa na wasukuma wa chato na wenye kadi ya CCM,itakufaa hio.
 
Mkuu suala la bima lina utapeli mwingi sana. lakini nikurekebishe kidogo. Tunalo shirika la bima la Taifa (NIC) moja. Hayo mashirika utitili yaliyo jazana mtaani ni mawakala tu. Utapeli wao unaanzia na uzembe au kutokufuatilia kwa sisi wateja. Wakala wa bima anaweza kukukatia bima na akakupa na stika lakini asipeleke taarifa zako NIC, na kwasababu anajua wateja hatujisumbui kufuatilia basi hela yote uliyolipa kwa ajili ya bima wanaila.
 
Mkuu suala la bima lina utapeli mwingi sana. lakini nikurekebishe kidogo. Tunalo shirika la bima la Taifa (NIC) moja. Hayo mashirika utitili yaliyo jazana mtaani ni mawakala tu. Utapeli wao unaanzia na uzembe au kutokufuatilia kwa sisi wateja. Wakala wa bima anaweza kukukatia bima na akakupa na stika lakini asipeleke taarifa zako NIC, na kwasababu anajua wateja hatujisumbui kufuatilia basi hela yote uliyolipa kwa ajili ya bima wanaila.
Oh, kumbe wanatupiga kirahisi hivi! Sasa naanzia wapi kufuatilia kama hela imeingia NIC?
 
Back
Top Bottom