Wahasibu na wenye uelewa naombeni msaada wenu hapa tafadhali

Wahasibu na wenye uelewa naombeni msaada wenu hapa tafadhali

Hapana mzee, unamwingiza chaka. Huwezi kutreat salio kama sehemu ya income for next month. Hapo utakuwa una double count. Salio ni sehemu ya income ya mwezi uliopita iweje tena iwe ni income ya mwezi huu? Hiyo haikubaliki. Akifanya hivyo atakuwa anajidanganya ana income kubwa kila mwezi kumbe income zingine ni za miezi iliyopita. Kila mwezi weka fresh income. Salio weka sehemu nyingine.
detail zinaonesha hiyo ni baki ya mwezi uliopita siyo income ya mwezi huo,na kutakuwaje na double counting wakati umeishaibalance mwezi ulioisha.hiyo ni just CASH BOOK simple kwa mahitaji yake. naona unamshauri kwa mtazamo wa INCOME STATEMENT kwamba baki iwe inaingia kwenye BALANCE SHEET au?
 
detail zinaonesha hiyo ni baki ya mwezi uliopita siyo income ya mwezi huo,na kutakuwaje na double counting wakati umeishaibalance mwezi ulioisha.hiyo ni just CASH BOOK simple kwa mahitaji yake. naona unamshauri kwa mtazamo wa INCOME STATEMENT kwamba baki iwe inaingia kwenye BALANCE SHEET au?
Kwani lengo lake ni nini? Je anaandaa taarifa za mapato na matumizi kwa ajili ya urembo au kujifurahisha tu au anaandaa kwa ajili ya kujua kipato chake kwa mwezi against matumizi? Kama anaandaa kwa kujifurahisha basi format yako uliyoitoa inamfaa. Ila kama anaadaa kujua kipato chake halisia kwa mwezi na matumizi yake halisia kwa mwezi formart yako itakuwa ina m-mislead. Atakuwa anaonekana anatengeneza kipato kikubwa kwa mwezi ilihali mapato mengine ni dublication.
 
Kwani lengo lake ni nini? Je anaandaa taarifa za mapato na matumizi kwa ajili ya urembo au kujifurahisha tu au anaandaa kwa ajili ya kujua kipato chake kwa mwezi against matumizi? Kama anaandaa kwa kujifurahisha basi format yako uliyoitoa inamfaa. Ila kama anaadaa kujua kipato chake halisia kwa mwezi na matumizi yake halisia kwa mwezi formart yako itakuwa ina m-mislead. Atakuwa anaonekana anatengeneza kipato kikubwa kwa mwezi ilihali mapato mengine ni dublication.
CASH BOOK inamfaa.siyo kujifurahisha tuu,hapo anatimiza malengo yake,akitaka kujua kipato halisi kwa mwezi husika,anafanya kutoa hiyo baki ya mwezi uliopita anabakiwa na mapato halisi ya mwezi.hicho unachomwelekeza utamchanganya atahairisha na kutunza mahesabu maana itambidi aingie darasani.
 
Pongezi za dhati kwa mleta uzi, wengi hatuna utaratibu wa kuweka kumbukumbu zetu za mapato na matumizi, hasa tusiokua na biashara.

Pili, kama nimemuelewa vizuri Upepo wa Pesa , hii ni kwa ajili yake na sio kwa mambo ya kulipa kodi au kujua faida na hasara kwenye mwenendo wa biashara. Kwa muktadha huo, iwe unaandika kwenye karatasi au kwenye excel sheet, haijalishi, ilimradi wewe uwe unajua kipi ni kipi, cha muhimu, utatumia calculator kukokotoa endapo unatumia karatasi.

Lakini kwa kesi yako, wewe tayari una computer, nakushauri uzingatie alichopendekeza casanova69 ila ufanye marekebisho kidogo, iwepo sehemu utakayowekea formula itakayokokotoa jumla ya mapato ya mwezi husika kutoa baki iliyoletwa kutoka mwezi uliopita pamoja na matumizi ya mwezi husika kupata net income ya mwezi husika.

Nnachosisitiza ni kwamba, jumla ya matumizi, jumla ya mapato, baki/akiba/salio vyote lazima viwekewe fomula ya kukokotoa ila kuwe na maelezo ya hicho ni kitu gani. Pia huenda maneno tu yanatofautiana ila kimsingi kama haufanyi biashara, tutakua na akiba/salio na sio net income. Maneno huenda yakatofautiana lakini kwa lengo la kuweka kumbukumbu sawa haina neno ilimradi wewe unajua kipi ni kipi.

Mimi sio mhasibu wala sijasomea uhasibu.
 
CASH BOOK inamfaa.siyo kujifurahisha tuu,hapo anatimiza malengo yake,akitaka kujua kipato halisi kwa mwezi husika,anafanya kutoa hiyo baki ya mwezi uliopita anabakiwa na mapato halisi ya mwezi.hicho unachomwelekeza utamchanganya atahairisha na kutunza mahesabu maana itambidi aingie darasani.
Sawa mkuu. Ila mtafutie format nyingine basi ili salio lisionekane upande wa income, maana kwenye hiyo format umeweka column mbili ya income and expense.
 
konda msafi inavyoonekana wewe ni mhasibu professional ndio maana unataka mambo yaende kisomi. Kwa madhumuni ya huyu mwenzetu, anahitaji kitu rahisi sana kuweza kutunza kumbukumbu zake tu za mapato na matumizi.
 
Sawa mkuu. Ila mtafutie format nyingine basi ili salio lisionekane upande wa income, maana kwenye hiyo format umeweka column mbili ya income and expense.
iyo income na expenditure ni sawa na DR na CR tu.nimeassume hiyo baki lazima itaendelea kutumika kama pesa zingine yana atachanganya na mshahara unaofuata,naona ile neno INCOME ndio linakuchanganya/unalifikiria tofauti.
 
konda msafi casanova69 The Monk

Nashukuruni sana kwa mawazo yenu!! Nitayafanyia kazi na nitaweka hapa hiyo format nitayo iandaa...

Ila kwa upande flani nakubaliana na konda msafi anaposema salio la mwezi uliopita nisiliweke kwa "income section" ya mwezi ujao.

Nilichoplan kufannya ni hiki...

Nimeshaandaa excel sheet, na ina income na expense section.

Mapato yote ya mwezi husika (inclide salari, posho na mengine) nitayaweka kwenye income section ya mwezi husika.

Na matumizi yatakua kwenye expenses section.

Kupata kipato kilicho baki nitachukua income minus expenses ili nipate jumla iliyobaki baada ya matumizi!!

Sasa kuhusu salio, nita treat kama balance caried forward. Litaonekana kwenye mwezi ujao ila sinto lijumisha kwenye "income section"...litakua kivyake!!

Nitaandaa formula ya kutafuta commulative balance ya kila mwezi na mwisho wa sheet nitajua nina jumla balance kiasi gani na kwenye mwezi husika nimeingiza kiasi gani na kubakiwa na shilingi ngapi!! Nitafanya hivi kwa kila mwezi na kila kota!

Pia kila kipato na matumizi nitaviwekea percentage... Yaani kwa mwezi husika nijue matumizi gani yalikua makubwa na mapato gani yalikua makubwa...in terms of %!

Nikimaliza kuandaa nitaweka hapa kama sample... Mnishauri zaidi!!

Thank y'all!!
 
Upepo wa Pesa hufanyi saving wewe? huna long term plans? ila utafika mbali boss utafika mbali sana, nlishawahi kutumia mfumo huo na nimeanza tena ila mimi tumizi la kwanza kwangu nikaweka saving yes fanya saving kabla ya matumizi na hata baada ya matumizi kinachobaki tupia huko kusave mimi natupiaga vicoba au saccoss, bank kwangu si rafiki mda wowote nachomoa.
Hongera Boss
 
Upepo wa Pesa hufanyi saving wewe? huna long term plans? ila utafika mbali boss utafika mbali sana, nlishawahi kutumia mfumo huo na nimeanza tena ila mimi tumizi la kwanza kwangu nikaweka saving yes fanya saving kabla ya matumizi na hata baada ya matumizi kinachobaki tupia huko kusave mimi natupiaga vicoba au saccoss, bank kwangu si rafiki mda wowote nachomoa.
Hongera Boss
Savings nafanya japo nyingi naacha bank! Mpaka niwe na economic issue ya kufanya..

Yaani nimejikuta napitia madesa ya wahasibu bila kupenda[emoji23]...niko naanda excel sheet hapa... Nataka ni track every coin inayoingia na kutoka...

Na nijue nna salio shi ngapi!! Kabla mshahara haujatoka nitahakikisha nna bamk statement ili nikompee na excel yangu!!

Hii sheet nitaigawa kwa mwezi na kwa kota (kota ina miezi mitatu)... Baada ya hapo nitaigawa tena kwa mwaka!!

Ngoja niifanyie kazi maana haya maisha ukizubaa utakuta jioni imefika alafu droo haina pesa... [emoji23]
 
konda msafi casanova69 The Monk

Nashukuruni sana kwa mawazo yenu!! Nitayafanyia kazi na nitaweka hapa hiyo format nitayo iandaa...

Ila kwa upande flani nakubaliana na konda msafi anaposema salio la mwezi uliopita nisiliweke kwa "income section" ya mwezi ujao.

Nilichoplan kufannya ni hiki...

Nimeshaandaa excel sheet, na ina income na expense section.

Mapato yote ya mwezi husika (inclide salari, posho na mengine) nitayaweka kwenye income section ya mwezi husika.

Na matumizi yatakua kwenye expenses section.

Kupata kipato kilicho baki nitachukua income minus expenses ili nipate jumla iliyobaki baada ya matumizi!!

Sasa kuhusu salio, nita treat kama balance caried forward. Litaonekana kwenye mwezi ujao ila sinto lijumisha kwenye "income section"...litakua kivyake!!

Nitaandaa formula ya kutafuta commulative balance ya kila mwezi na mwisho wa sheet nitajua nina jumla balance kiasi gani na kwenye mwezi husika nimeingiza kiasi gani na kubakiwa na shilingi ngapi!! Nitafanya hivi kwa kila mwezi na kila kota!

Pia kila kipato na matumizi nitaviwekea percentage... Yaani kwa mwezi husika nijue matumizi gani yalikua makubwa na mapato gani yalikua makubwa...in terms of %!

Nikimaliza kuandaa nitaweka hapa kama sample... Mnishauri zaidi!!

Thank y'all!!
Hongera mkuu. Good job.
 
Mkuu, mshahara sio revenue, ni income. Income zote sio revenue ila revenue ni income. Salio linalobaki kwenye mshahara let's say salio la September haliwezi kuwa income ya October. You only account income once. Pia mshahara sio income kama unafanya biashara. Kama unajilipa mshahara basi mshahara ni drawings inayopunguza equity yako, ni expense ya mmiliki wa hiyo biashara. Salio lolote linalobaki baada ya kutoa expenses linakwenda kwenye retained earnings. Retained earnings yako ni sehemu ya networth ya asset zako, kiuhasibu tunasema "owner's equity". So kutokea kule kwenye retained earnings ndio unaweza kufanya drawings kwa ajili ya matumizi yako binafsi, i.e kujilipa mshahara. Kama umejilipa mshahara na ukajikuta sehemu ya mshahara uliyodraw imebaki na ukaamua kuirudisha kwenye biashara, basi hiyo hela uliyoirudisha haitaingia kama income itaingia kama capital contribution, yaani itaingia kama sehemu ya mtaji wa hiyo biashara yako hivyo itaongeza equity yako i.e. capital. Maelezo haya yanahusu kama unapata income kama sehemu ya biashara na sio income ya mshahara pekee.
Niliwaza hivo but nafikiri huyu bwana atakuwa na maana ya kwamba yeye ni muajiriwa na kwamba anataka tu kuweka kumbukumbu zake za Personal Income and Expenditure which means kwamba Balance yake itafungua mwezi unaofuata na itakuwa cummulative
 
Kwani lengo lake ni nini? Je anaandaa taarifa za mapato na matumizi kwa ajili ya urembo au kujifurahisha tu au anaandaa kwa ajili ya kujua kipato chake kwa mwezi against matumizi? Kama anaandaa kwa kujifurahisha basi format yako uliyoitoa inamfaa. Ila kama anaadaa kujua kipato chake halisia kwa mwezi na matumizi yake halisia kwa mwezi formart yako itakuwa ina m-mislead. Atakuwa anaonekana anatengeneza kipato kikubwa kwa mwezi ilihali mapato mengine ni dublication.


Mkuu lengo ni kujua hasa mapato na matumizi yake na kuweka kumbukumbu zake sawa, si unajua mali bila daftrai inapotea au hauwezi kupangilia kitu usichokifuatilia kwa ukaribu?

Formula yangu haitampotosha kwa sababu itaonekana mwanzoni mwa kila mwezi, kama salio la mwezi uliopita. Na mwisho atakuwa na sehem inayoonesha salio/baki/akiba ya mwezi husika lakini itakua na formula itakayozingatia kutoa ile akiba iliyotoka mwezi uliopita.

Unaweza kufanya jambo lolote na excel ilimradi tu ujue unataka kufikia lengo gani.
 
Savings nafanya japo nyingi naacha bank! Mpaka niwe na economic issue ya kufanya..

Yaani nimejikuta napitia madesa ya wahasibu bila kupenda[emoji23]...niko naanda excel sheet hapa... Nataka ni track every coin inayoingia na kutoka...

Na nijue nna salio shi ngapi!! Kabla mshahara haujatoka nitahakikisha nna bamk statement ili nikompee na excel yangu!!

Hii sheet nitaigawa kwa mwezi na kwa kota (kota ina miezi mitatu)... Baada ya hapo nitaigawa tena kwa mwaka!!

Ngoja niifanyie kazi maana haya maisha ukizubaa utakuta jioni imefika alafu droo haina pesa... [emoji23]


Huu ni mwanzo mzuri sana mkuu, wengi utaratibu huu haupo. Kuna kitabu kinaitwa The Richest Man in Babylon kitafute kitakusaidia sana.

Kwa ufupi, kimejikita kwenye msingi wa kutengeneza au kujenga nidhamu ya pesa (wengi hatuna hiyo) ukishakua na nidhamu ya pesa, mafanikio mengine yatafuatia tu. Hata uwe na biashara ya kukuingizia pesa kiasi gani, kama hauna nidhamu ya pesa hauwezi kufika popote.

Yeye anashauri kwenye kila unachokipata, jambo la kwanza jilipe kwanza wewe kwa kuweka akiba sio chini ya asilimia kumi ya kile ulichokipata.
 

Attachments

Kwanza nawasilimu!

Pili...

Katika harakati za kuhakikisha naweka kumbu kumbu za mapato na matumizi yangu kwa mwezi nimeamua kutengeneza "spread sheet" ambayo ina sehemu mbili, Revenue na Expenses. Sehemu ya "revenue" nimeweka mshahara wangu na mapato mengine, na sehemu ya "expenses" nimeweka matumizi yangu ya mwezi husika.

Swali,

Je kama mishahara imekutana, yaani nimebakiwa na salio kwenye mwezi husika, je hili salio kwenye mwezi ujao nitalijaza kama "Revenue (mapato)" au "Expense(matumizi)"?

Mfano baada ya matumizi kwa mwezi nikabakiwa na 200k, je hii 200k kwenye mwezi ujao nitaijaza kama revenue (mapato)?

NB: Baada ya kutoa revenue na expenses nabakiwa na kiwango cha pesa kichobaki kwenye mwezi husika!

Naomba kuwasilisha tafadhali!
Mkuu ebu kwanza kabla ya kukusaidia toa huo mshahara kwenye column ya revenue. Mshahara always ni expense siyo sehemu ya mapato.
 
Mmmhhhh. Nimesoma mawazo ya wengi humu hata wenye CPA nikasikitika kabisa. Nikakumbuka posting moja iliyomuhusu Mufuruki humu na jinsi watu walivyoichangia. Mimi nitamsaidia Upepo wa Pesa hivi: Kinachotakiwa ni kitu kinaitwa Receipts and Payments aStatement baaaaaassssiiiiiiiiiiii. Hakuna cha Income/Revenue au Expenditure/Expenses. Kwenye hiyo spreadsheet yako pale ulipoandika Income badilisha iwe Receipts na ulipoandika Expenses badilisha uandike Payments. Umemaliza. Ukiwa na shida rudi hapa uwanjani nakusubiri. CPA zetu ni shidaaaaaa.
 
Mmmhhhh. Nimesoma mawazo ya wengi humu hata wenye CPA nikasikitika kabisa. Nikakumbuka posting moja iliyomuhusu Mufuruki humu na jinsi watu walivyoichangia. Mimi nitamsaidia Upepo wa Pesa hivi: Kinachotakiwa ni kitu kinaitwa Receipts and Payments aStatement baaaaaassssiiiiiiiiiiii. Hakuna cha Income/Revenue au Expenditure/Expenses. Kwenye hiyo spreadsheet yako pale ulipoandika Income badilisha iwe Receipts na ulipoandika Expenses badilisha uandike Payments. Umemaliza. Ukiwa na shida rudi hapa uwanjani nakusubiri. CPA zetu ni shidaaaaaa.
dah ayo ni maneno tu kiongozi,mbona amna tofauti.
 
Back
Top Bottom