konda msafi casanova69 The Monk
Nashukuruni sana kwa mawazo yenu!! Nitayafanyia kazi na nitaweka hapa hiyo format nitayo iandaa...
Ila kwa upande flani nakubaliana na
konda msafi anaposema salio la mwezi uliopita nisiliweke kwa "income section" ya mwezi ujao.
Nilichoplan kufannya ni hiki...
Nimeshaandaa excel sheet, na ina income na expense section.
Mapato yote ya mwezi husika (inclide salari, posho na mengine) nitayaweka kwenye income section ya mwezi husika.
Na matumizi yatakua kwenye expenses section.
Kupata kipato kilicho baki nitachukua income minus expenses ili nipate jumla iliyobaki baada ya matumizi!!
Sasa kuhusu salio, nita treat kama balance caried forward. Litaonekana kwenye mwezi ujao ila sinto lijumisha kwenye "income section"...litakua kivyake!!
Nitaandaa formula ya kutafuta commulative balance ya kila mwezi na mwisho wa sheet nitajua nina jumla balance kiasi gani na kwenye mwezi husika nimeingiza kiasi gani na kubakiwa na shilingi ngapi!! Nitafanya hivi kwa kila mwezi na kila kota!
Pia kila kipato na matumizi nitaviwekea percentage... Yaani kwa mwezi husika nijue matumizi gani yalikua makubwa na mapato gani yalikua makubwa...in terms of %!
Nikimaliza kuandaa nitaweka hapa kama sample... Mnishauri zaidi!!
Thank y'all!!