Wahaya hatuna kawaida ya kupanda Mabasi, wengi tuna Private Cars

Wahaya hatuna kawaida ya kupanda Mabasi, wengi tuna Private Cars

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Siku za hivi karibuni nimeona watu wakiiponda stendi ya mabasi ya Bukoba kuwa ni stendi duni, nakubaliana nao ila nawakumbusha pia kuna kitu hawakijui au wanakijua ila hawataki kusema, sasa leo nitakisema hapa ili kumaliza utata.

Iko hivi, sisi wahaya tunapenda kutumia private cars au ndege tunapokuwa tunakwenda mikoani, ile stendi ya mabasi ukichunguza utabaini kuwa wanaoitumia zaidi ni watu wa makundi yafuatayo;

1. Wenyeji wa kagera ambao si wahaya.
2. Watu wa mikoa mingine wanaokuja bukoba kujifunza ustaarabu.
3. Wahaya wachache wanaotaka kujionea mateso mnayoyapata kwenye usafiri wa mabasi.

Ombi letu kwa serikali ni kupewa ardhi pale bandarini tujenge gati ya kupitisha magari ya wahaya, pia tupewe ruhusa tujenge airport inayo elea ziwa Victoria ili ndege zetu zitue hapo.

Kwa wasiojua hata DP Word ni mali ya mhaya.
 
Siku za hivi karibuni nimeona watu wakiiponda stendi ya mabasi ya Bukoba kuwa ni stendi duni, nakubaliana nao ila nawakumbusha pia kuna kitu hawakijui au wanakijua ila hawataki kusema, sasa leo nitakisema hapa ili kumaliza utata.

Iko hivi, sisi wahaya tunapenda kutumia private cars au ndege tunapokuwa tunakwenda mikoani, ile stendi ya mabasi ukichunguza utabaini kuwa wanaoitumia zaidi ni watu wa makundi yafuatayo;

1. Wenyeji wa kagera ambao si wahaya.
2. Watu wa mikoa mingine wanaokuja bukoba kujifunza ustaarabu.
3. Wahaya wachache wanaotaka kujionea mateso mnayoyapata kwenye usafiri wa mabasi.

Ombi letu kwa serikali ni kupewa ardhi pale bandarini tujenge gati ya kupitisha magari ya wahaya, pia tupewe ruhusa tujenge airport inayo elea ziwa Victoria ili ndege zetu zitue hapo.

Kwa wasiojua hata DP Word ni mali ya mhaya.
Hakuna lolote hizo ni mbwembwe zako za kinshomile tu wahaya wanapanda mabasi

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Wahaya gani hawa wanaotembeza baiskeli za mayai hapa Dar es salaam
 
Kiuhalisia maisha ya watanzania yanafanana fanana Sana japo Kuna makabila waliofanikiwa ni wengi kuliko makabila mengine.

Tunaposema waking wameishika kariakoo haimaanishi waking wote ndiyo wafanyabiashara wakubwa wa karikaoo. The same to wahaya,japo ni wasomi haimaanishi wahaya wote ni wasomi na wameendelea.

Kule vijijini Kuna wengi sana wahaya wanashindia matoke na watoto wanaumwa unyafuzi.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Siku za hivi karibuni nimeona watu wakiiponda stendi ya mabasi ya Bukoba kuwa ni stendi duni, nakubaliana nao ila nawakumbusha pia kuna kitu hawakijui au wanakijua ila hawataki kusema, sasa leo nitakisema hapa ili kumaliza utata.

Iko hivi, sisi wahaya tunapenda kutumia private cars au ndege tunapokuwa tunakwenda mikoani, ile stendi ya mabasi ukichunguza utabaini kuwa wanaoitumia zaidi ni watu wa makundi yafuatayo;

1. Wenyeji wa kagera ambao si wahaya.
2. Watu wa mikoa mingine wanaokuja bukoba kujifunza ustaarabu.
3. Wahaya wachache wanaotaka kujionea mateso mnayoyapata kwenye usafiri wa mabasi.

Ombi letu kwa serikali ni kupewa ardhi pale bandarini tujenge gati ya kupitisha magari ya wahaya, pia tupewe ruhusa tujenge airport inayo elea ziwa Victoria ili ndege zetu zitue hapo.

Kwa wasiojua hata DP Word ni mali ya mhaya.
Harafu , infwakti, Kagera ndio inaongoza kwa watoto wenye utapiamlo, na pato dogo kwa taifa.
Hongera!
 
Rubish, empty set kabisa.
Kichwami umebeba uji wa mhoho..
Mtoto mdogo unakua mshirikina.
 
Siku za hivi karibuni nimeona watu wakiiponda stendi ya mabasi ya Bukoba kuwa ni stendi duni, nakubaliana nao ila nawakumbusha pia kuna kitu hawakijui au wanakijua ila hawataki kusema, sasa leo nitakisema hapa ili kumaliza utata.

Iko hivi, sisi wahaya tunapenda kutumia private cars au ndege tunapokuwa tunakwenda mikoani, ile stendi ya mabasi ukichunguza utabaini kuwa wanaoitumia zaidi ni watu wa makundi yafuatayo;

1. Wenyeji wa kagera ambao si wahaya.
2. Watu wa mikoa mingine wanaokuja bukoba kujifunza ustaarabu.
3. Wahaya wachache wanaotaka kujionea mateso mnayoyapata kwenye usafiri wa mabasi.

Ombi letu kwa serikali ni kupewa ardhi pale bandarini tujenge gati ya kupitisha magari ya wahaya, pia tupewe ruhusa tujenge airport inayo elea ziwa Victoria ili ndege zetu zitue hapo.

Kwa wasiojua hata DP Word ni mali ya mhaya.
Ustaarabu ni kuwa na kituo cha basi kisichokidhi haja?
 
Frester,majinja,happy nation wanaenda bukoba kubeba senene na matoke sio?
 
Siku za hivi karibuni nimeona watu wakiiponda stendi ya mabasi ya Bukoba kuwa ni stendi duni, nakubaliana nao ila nawakumbusha pia kuna kitu hawakijui au wanakijua ila hawataki kusema, sasa leo nitakisema hapa ili kumaliza utata.

Iko hivi, sisi wahaya tunapenda kutumia private cars au ndege tunapokuwa tunakwenda mikoani, ile stendi ya mabasi ukichunguza utabaini kuwa wanaoitumia zaidi ni watu wa makundi yafuatayo;

1. Wenyeji wa kagera ambao si wahaya.
2. Watu wa mikoa mingine wanaokuja bukoba kujifunza ustaarabu.
3. Wahaya wachache wanaotaka kujionea mateso mnayoyapata kwenye usafiri wa mabasi.

Ombi letu kwa serikali ni kupewa ardhi pale bandarini tujenge gati ya kupitisha magari ya wahaya, pia tupewe ruhusa tujenge airport inayo elea ziwa Victoria ili ndege zetu zitue hapo.

Kwa wasiojua hata DP Word ni mali ya mhaya.
Wahaya hovyo kabisa.

Ukifika Bukoba ukaona vinyumba vyao vilivyochoka ndo utashangaa ila kujisifia [emoji817]

Halafu ni washenzi sana kwa ukabila. Mkiwa 5 Ofisi moja halafu wawili kati yenu ni wahaya, wale watatu watapata taabu sana.

Kiufupi mi siyapendi kabisa mahaya Kwa sababu ya upumbavu wao
 
Wahaya hovyo kabisa.

Ukifika Bukoba ukaona vinyumba vyao vilivyochoka ndo utashangaa ila kujisifia [emoji817]

Halafu ni washenzi sana kwa ukabila. Mkiwa 5 Ofisi moja halafu wawili kati yenu ni wahaya, wale watatu watapata taabu sana.

Kiufupi mi siyapendi kabisa mahaya Kwa sababu ya upumbavu wao
Punguza jazba
 
Back
Top Bottom