Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Ishini maisha yenu, achaneni na upuuzi wa kulazimisha kuishi kama wengineKama ilivyo desturi ya ndugu zetu Wachaga nasi tumeanza kwenda home Bukoba city kipindi Cha mwisho wa mwaka (kwa njia mbalimbali hususani Ndege-Scheduled and chartered, private cars na kidooogo mabasi).
NB: Tunaendelea na mazungumzo na KLM na Emirates walete ndege Bukoba Airport (Iwe rahisi kufanya connections na international destinations).
Of Course, Feza, IST na ISM zimefurika watoto wetu.Ninasikia Wahaya wote wamesha lipa ada za watoto hii January.
π€£π€£Of Course, Feza, IST na ISM zimefurika watoto wetu.
Mimi toka nizaliwe sijawahi ona mhaya kapanda basi kutoka mkoa wowote kwenda kwao ni ndege na private car tena mpya sio used mleta mada acha uzushiEti "kidoogo public transport"!!! Wahaya bhanaππ
Umesahau (PhD)Mimi toka nizaliwe sijawahi ona mhaya kapanda basi kutoka mkoa wowote kwenda kwao ni ndege na private car tena mpya sio used mleta mada acha uzushi
Ni mimi Retired Ambassodor of Tanzania to Developed Nations , PROFFESSOR EMIRITUS DR (ENG) YEHODAYA RWARUBISI
Shukrani nimerekebisha wewe unanijua vizuriUmesahau (PhD)
Mh! ada ni kitu kidogo labda kama ni ya Harvard, lkn za sekondary, UDSM and the like ni vitu vidogo kwa wahaya π π π π π π πNinasikia Wahaya wote wamesha lipa ada za watoto hii January.
Katerero ni kijiji kipo kata KemondoNasikia huko kuna kitu inaitwa katerero?View attachment 1677242
Tweshemeze tushemereTweshemeze
Shida yenu, muwe nacho musiwe nacho,msome msisome bas mnajifanya wajuaji sanaMimi toka nizaliwe sijawahi ona mhaya kapanda basi kutoka mkoa wowote kwenda kwao ni ndege na private car tena mpya sio used mleta mada acha uzushi
Ni mimi Retired Ambassodor of Tanzania to Developed Nations , PROFFESSOR EMIRITUS DR (ENG) YEHODAYA RWARUBISI (4 PHDs IN INTERNATIONAL MATTERS)
Hiv kuna watu wanaoishi maisha Yao kama wahaya hapa nchini?Ishini maisha yenu, achaneni na upuuzi wa kulazimisha kuishi kama wengine