Wahaya kama Wachaga, tunarudi home Krismasi

OK mkuu kwahiyo bukoba wageni wengi kuliko wenyeji? Maana mabasi yanayoenda bukoba in mengi
 
nilifurahi sana siku moja mlikuwa mnasafirisha maiti kutoa arusha to bukoba..
mlikodisha gari zile za kubebea mwili mkaona haitoshi mkakodisha na kichanja semi trela ibebe ile gari ya mwili...
hahaha nyie kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…