Wahaya walikuwa wanaunda high quality steel hata kabla ya mzungu

Wahaya walikuwa wanaunda high quality steel hata kabla ya mzungu

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Leo nilikuwa natazama teknolojia zilizopotea za kale kama vile zege la waroma ambalo lilikuwa likizidi imarika zaidi kila muda unavyopita likiwa kwenye maji ya chumvi.

Basi katika hiyo video jamaa akaomgelea kuhusu steel ya wahaya.

Utengenezaji wa steel wa kisasa uligunduliwa mwaka 1847, kumbe wakati huo wahaya walikuwa washagundua njia ya kutengeneza steel yenye ubora wa juu kabisa kwa mamia ya miaka.

Walikuwa wanauza hiyo steel kwa jamii mbalimbali.
Bahati mbaya wazungu walipokuja wakaleta steel yao ya bei rahisi hivyo biashara ya steel ya wahaya ikafa maana ikakosa wanunuzi.

Bwana Peter Schmidt aliposikia hili alienda Uhayani na kuwaomba wazee wa kihaya wajaribu kutumia njia zile zile kutengeneza steel na baada ya majaribio saba walifanikiwa. Alishangaa kuona product iliyotoka ilikuwa ni ya kiwango cha juu kabisa.

Unaweza pia jisomea zaidi hapa:

 
Leo nilikuwa natazama teknolojia zilizopotea za kale kama vile zege la waroma ambalo lilikuwa likizidi imarika zaidi kila muda unavyopita likiwa kwenye maji ya chumvi. Basi katika hiyo video jamaa akaomgelea kuhusu steel ya wahaya.
Utengenezaji wa steel wa kisasa uligunduliwa mwaka 1847, kumbe wakati huo wahaya walikuwa washagundua njia ya kutengeneza steel yenye ubora wa juu kabisa kwa mamia ya miaka. Walikuwa wanauza hiyo steel kwa jamii mbalimbali.
Bahati mbaya wazungu walipokuja wakaleta steel yao ya bei rahisi hivyo biashara ya steel ya wahaya ikafa maana ikakosa wanunuzi.
Bwana Peter Schmidt aliposikia hili alienda Uhayani na kuwaomba wazee wa kihaya wajaribu kutumia njia zile zile kutengeneza steel na baada ya majaribio saba walifanikiwa. Alishangaa kuona product iliyotoka ilikuwa ni ya kiwango cha juu kabisa.
Unaweza pia jisomea zaidi hapa:
Wahaya hawahawa wakaterelo na kumwagana maji


USSR.
 
Karl peters baada ya kufika uhayani alikuta wahaya wana Phd za kutosha na wakazungumza nae kiingereza, kuona hivyo akaondoka zake nakwenda kuwatawala "warugaruga" wengine.
Watu mna mambo. Sijui nani alifika Buganda kingdom akakuta walikuwa wanafanya operation za watu sijui apendix kitu kama hicho.
 
Karl peters baada ya kufika uhayani alikuta wahaya wana Phd za kutosha na wakazungumza nae kiingereza, kuona hivyo akaondoka zake nakwenda kuwatawala "warugaruga" wengine.
Umenichekesha sana mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna sehemu inaitwa Katuruka Maruku (ZAMADAMU) hiyo sehemu ina mabaki ya ufuaji chuma. Ni mojawapo ya historical sites zinazopatikana Tanzania;uwenda ndio hapo walipokuwa wakifua zana za chuma enzi hizo.
 
Karl peters baada ya kufika uhayani alikuta wahaya wana Phd za kutosha na wakazungumza nae kiingereza, kuona hivyo akaondoka zake nakwenda kuwatawala "warugaruga" wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kuna uhusiano gani kati ya hiyo style na eneo la katerero penye shule ya kashozi aliyofundisha Bashiru miaka ya 90
Ni majina tu,ni Sawa na kusema buza kwa mparange,Kuna uhusiano gani na mambo ya uwani!?
Wakati mambo ya uwani yalikuwepo kabla Hilo jina kwa mparange halijawa maarufu
 
Back
Top Bottom