Wahaya wote popote pale mlipo tuombeni radhi wana Mara na Kanda ya Ziwa wote haraka

Yaani leo mtanikoma. Mkitaka ninyamaze wekeni hao Ng'ombe Saba na hiyo Pombe ya Gongo / Brandi nitanyamaza la sivyo leo mtanibeba ' Mzanaki ' Mimi humu Jamvini hakyanani!
Labda tukupe mji maana ng'ombe waliswagwa na wajeda. Tunakupa Kinesi kwao mama Maria chukua.
 
Wahayaa wahayaa mtulipeee faini zetu,uzaifu unaanzia mnapoenda kutailiwa kwa kuchomwa ganzi mmeupeleka hadi kwa wamama yomaweeee!!!!
 
Mtoto wa kitanga kamtoa machozi Mhaya.
Hongera zenu wanawake wa Kitanga ile rekodi yenu badonaishikilia
 
Tena na awalipe haraka. Kama namuona McConder miguu juu ya meza ofisini na erphone kubwa, anacheeeeka.
 
Sisi watu wa wa mkoa wa kigoma tumeshangazwa na mtoto wetu huyo !!! Sisi hapa watoto ambao hata kushika jembe na kwenda shamba kama atafilisika bado analia lia nini sasa kweli anastahi kutulipa faini alete Senene kilo hamsini na pombe ya ndizi (Kayoga)kama hela sisi Tunazo
 
Dah mapenzi yanauma,kweli kila shetani na mbuyu wake!mtoto wa kisomanga kamkoleza Boss hadi hajitambuii
 
Hakuna mbambe mbele ya mb***ye wewe!....hata wasiotaka kujaribiwa (namaanisha na shetani si na watu hahaha) wakifika hapo katika mgodi huo wa mwanadamu hulia kama kasim mganga aimbavyo! Haina mjanja wewe!
 
Huu msimu wanaume sijui shetani katufanyaje!...kabla DAIHAMI halijaisha singo mpya ya ZAMARUGE ikaachiwa hewani!...tutaona ipi itafikisha watazamaji milioni kumi haraka weza ipo SIJUI vero au yutubu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…