Wahehe: Uwene Waulige sefu

Wahehe: Uwene Waulige sefu

Avanu vangu va Taifa la unyalu , mwitu ga Uhehe
mlivanofu?
 
Uwiiii humu ndani akaaaa hiki kibantu kinawenyewe....... Ndimugaya shida nene
 
hiyo ilitokea maeneo ya ipogolo miaka ya 90,kulikuwa na harusi ya bwana mmoja mwenye uwezo wa pesa(ni ilomo kama sijakosea)huyo sefu alifakamia ubwabwa na nyama hatimae ukamkaba na kumpotezea maisha!!!ndio ukawa mwanzo wa neno waulige Sefu.anaejua zaidi atujuze!
Mimi nimezaliwa miaka ya 50, msemo huo nimeukuta!
 
nyela kamwene! Ijumapili hii mubite kukanisani. Inguluvi iwatange!
 
Back
Top Bottom