Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
- Thread starter
- #61
kamwene, wiinaani ilitawa?
kamwene mnogage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamwene, wiinaani ilitawa?
Kamwene mnyalukolo!wakuu Kamwene,
Muheshimiwa Mtwa mkulu, silasuga mahinyila, ndugu jamaa na wahehe wote mlioko JF
KAMWENE!
Nawaulizeni wandugu. Hivi kwanini iringa wali mnautambua kwa jina hilo?
Ulimfanya nini SEFU? Sefu alikuwaga ni nani?
KARIBUNI kumgati
ndimnofu, vanogage kukae?kamwene mnogage
Tuwuyape iligulupu ilya whatsapp nyenye
ndimnofu, vanogage kukae?
Yenani ave admini iliwaso linofu
Mtani hata wewe muhehe unaanza kutuonngopea kuhusu hii lugha yako? Hiyo hadithi uloweka hapa ni ya utani kutoka siye watani zenu wa makabila mengine. Muulize Gwalihenzi Ulimnofu veve?hiyo ilitokea maeneo ya ipogolo miaka ya 90,kulikuwa na harusi ya bwana mmoja mwenye uwezo wa pesa(ni ilomo kama sijakosea)huyo sefu alifakamia ubwabwa na nyama hatimae ukamkaba na kumpotezea maisha!!!ndio ukawa mwanzo wa neno waulige Sefu.anaejua zaidi atujuze!
Ndimunofu hela muyawe, ndi mnya kusadani!
Helga..
Nene munya kumtili kumafinga