Ubweche cheka na watoto punga ukipikwa watoto hawachezi mbali na wali wa zamani ulikiwa unanukia kweli kweli.Naomba niende moja kwa moja kwenye point, nikikumbuka enzi hizo siku unapikwa wali, mtu ulikuwa huchezi mbali, utajizungusha na kufanya kazi ya kila aina ili kuusukuma muda ili muda wa kula wali maharagwe ufike. Utafanya maandalizi ya kila aina kununua ndizi au kutengeneza kachumbali pori.
Kwa upande wako ilikuwaje?
Kuna ile kama ni ubweche nyama unachukua nyama yako unaishika kwa mkono wa kushoto kwanza.Unakula kwa mkono halafu unaenda kwa watoto jirani zako unawanusisha halafu Unamwambia umesikia harufu ya nn? Akikosea bonge la cheko
Yaani maisha ya zamani bwana raha tupuKuna ile kama ni ubweche nyama unachukua nyama yako unaishika kwa mkono wa kushoto kwanza.
Unapiga umbweche ukikaribia kumaliza unabakisha kadogo ka kumezea na nyama. Basi utakombolezea sahani akitokea mtu akaivuta utamchukia maisha yako yote ya utoto.
"Omuchele" kwetu bhana wali (omuchele) unatanguliwa na ugali kwanza. Ubwabwa pekee hatushibi!!!!!Naomba niende moja kwa moja kwenye point, nikikumbuka enzi hizo siku unapikwa wali, mtu ulikuwa huchezi mbali, utajizungusha na kufanya kazi ya kila aina ili kuusukuma muda ili muda wa kula wali maharagwe ufike. Utafanya maandalizi ya kila aina kununua ndizi au kutengeneza kachumbali pori.
Kwa upande wako ilikuwaje?
SHINYANGA AU wapi?"Omuchele" kwetu bhana wali (omuchele) unatanguliwa na ugali kwanza. Ubwabwa pekee hatushibi!!!!!