JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,957
Naomba niende moja kwa moja kwenye point, nikikumbuka enzi hizo siku unapikwa wali, mtu ulikuwa huchezi mbali, utajizungusha na kufanya kazi ya kila aina ili kuusukuma muda ili muda wa kula wali maharagwe ufike. Utafanya maandalizi ya kila aina kununua ndizi au kutengeneza kachumbali pori.
Kwa upande wako ilikuwaje?
Kwa upande wako ilikuwaje?