Wahenga mpooooo

Wahenga mpooooo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupoooooo
Wapo wale wengine wanakaa kwenye maji,mtoni au ziwani vinang'ata kweli[emoji23] kakishakung'ata kachuchu kanavimba unajipa moyo manyonyo yanakua makubwa kumbe uvimbe

Watoto wa siku hizi hawajui hizi mana wanashinda kwenye shule zao za English medium wakitoka jion wanaungia kwenye mageti yao hawakutani na fukufuku
Sasa mlikuwa mnatakata yawe makubwa myafanyie nn au ili mnipe niyanyonye[emoji23][emoji23][emoji23]
 
hiviiiii, jaman jaman
usijeniambia na yule wangu aweza kuwa na mutu ingine humu
sitaki kufa mie
Kuchunga mzigo wako kazi sana. Utashangaa watu wanaitana beb beb kumbe zinaendelea mpaka kitandani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hahaaa. Dada umenikumbusha mbali mie nawakumbuka sana. Wanakaa pembeni mwa nyumba na walivyo na maajabu huwa wanatoka eti pale unapofukua fukua.

Ila siku hizi hayapo haya.
Pembeni ya nyumba kwa chini hivi unakutana na vishimo siku hizi hakuna hizi mambo kabisa dada akee
 
Back
Top Bottom