Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Sasa mlikuwa mnatakata yawe makubwa myafanyie nn au ili mnipe niyanyonye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] tupoooooo
Wapo wale wengine wanakaa kwenye maji,mtoni au ziwani vinang'ata kweli[emoji23] kakishakung'ata kachuchu kanavimba unajipa moyo manyonyo yanakua makubwa kumbe uvimbe
Watoto wa siku hizi hawajui hizi mana wanashinda kwenye shule zao za English medium wakitoka jion wanaungia kwenye mageti yao hawakutani na fukufuku