Sasa mlikuwa mnatakata yawe makubwa myafanyie nn au ili mnipe niyanyonye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] tupoooooo
Wapo wale wengine wanakaa kwenye maji,mtoni au ziwani vinang'ata kweli[emoji23] kakishakung'ata kachuchu kanavimba unajipa moyo manyonyo yanakua makubwa kumbe uvimbe
Watoto wa siku hizi hawajui hizi mana wanashinda kwenye shule zao za English medium wakitoka jion wanaungia kwenye mageti yao hawakutani na fukufuku
Sio mwanaume seme kumnyima shemej dhambi wameibadilisha siku hz huu msemoNilichopewa na Mungu kumnyima mwanaume dhambi.
hahahahahahaahHapana shemeji nimetamni tu ningekwepo nikuchimbie tu fukufuku walau ingetosha.
Kuchunga mzigo wako kazi sana. Utashangaa watu wanaitana beb beb kumbe zinaendelea mpaka kitandani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]hiviiiii, jaman jaman
usijeniambia na yule wangu aweza kuwa na mutu ingine humu
sitaki kufa mie
Kicheko kiwe kinaambatana na vipicha vya namna yalivyokuzwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera ya mtoto nyama we.. Sio nido[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ya nini wakati sio kubwa nitakavyp.
Hahahahaaaa.Huyo anao wenyewe le super mtindiz
hahahahahahah uwiiii, mimi sitaki kuona achilia mbali kusikiaKuchunga mzigo wako kazi sana. Utashangaa watu wanaitana beb beb kumbe zinaendelea mpaka kitandani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Anhaa.. Kumbe we una ndambi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Enheee kama hayo. Nikiwa na hayo kitambi chote kinafunikwa. Naonekana mtoto shape shape kumbe shape nimepewa na nyonyo
Na hicho ndio nimelenga hasa, tukijificha saa 11 mpaka saa 3 usiku tunatafutwa, watu waishabutua sana mpaka vidole vimeng'oka kucha.[emoji23] [emoji23]Nakuja halaf tumalizie na kombolela kwenye jumba bovu
Umeona enhee nikitoka huko nakuja kwakoHalaf kumnyimba mtu kitu unacho dhambi akupe tu
Pembeni ya nyumba kwa chini hivi unakutana na vishimo siku hizi hakuna hizi mambo kabisa dada akeeHahaaa. Dada umenikumbusha mbali mie nawakumbuka sana. Wanakaa pembeni mwa nyumba na walivyo na maajabu huwa wanatoka eti pale unapofukua fukua.
Ila siku hizi hayapo haya.
Hakuna kabisa yaani. Na hivyo vishimo ukivifukua lazima hicho kimdudu kiwepo.Pembeni ya nyumba kwa chini hivi unakutana na vishimo siku hizi hakuna hizi mambo kabisa dada akee
hizi hazipo tena siku hizi, boma letu tumeenda shule woteeeeeeeeeeeeee
We tulia mama tuna makubaliano ya kutunza mila mie na ndugu yanguhizi hazipo tena siku hizi, boma letu tumeenda shule woteeeeeeeeeeeeee